Wanaume wote tuwe na wazo moja

Wanaume wote tuwe na wazo moja

Jiran mwema

Senior Member
Joined
Nov 7, 2015
Posts
164
Reaction score
104
Habar za Mida wanajamvi!
Kimsingi sitaki kusema mengi Kwan kichwa cha uzi kishajieleza hapo juu.
Imefikia hatua ambapo gharama za maisha zinapanda kwa kasi Sana na CHANZO kikubwa kikiwa ni Hawa Dada zetu.
Yaan kupendana mnapendana wote Lakin ukitaka mkaishi pamoja kama wife & husband inabidi umtolee mahali, kwann lakn?Wanaume Kwanin hizo pesa tusinunue mashine ya kufulia nguo (washing machine),au kuwasaidia wazazi wetu(mama) nyumban.

Yaan Hawa wanawake hawana shukran unaweza kukata shauri ukamuoa na akawa na kazi Yake inayomuingizia kipato Lakin bado utasikia"Baby leo nataka nkasuke American style nipe elfu sabin(70000)".kiukwel this is NONSENSE Kwanin wanaume hiyo pesa ya kumpa huyo mwanamke usinunue luku ya umeme mwez mzma.?

KINACHONIKERA SASA:Mwanaume Unaweza jituma katka sekta zote yaan namaansha kutafuta maisha na kitandan ukawa mzuri haswa yaan kipenga kikipulizwa hakuna half time mpaka dakika tisini zinaisha still huyo mwanamke Anaona hufai anaenda kugawa kwa jiran.
Wanaume tuweni na msimamo kuanzia November hii hatuowi mpaka Hawa viumbe watakapo jirekebisha!!
Kama uko pamoja na mimi Nakuombea mafanikio katka kipind cha kuvumilia na kupiga nyeto kwa hasira. Kikubwa WAZO na LENGO letu liwe moja!!
 
hili ni wazo moja au wazo lako ?
 
Kwani kaka hujawahi kufuga hata kaumbwa? Akiwa hakusaidii we jionee tu kama kamfugo hivi wala kichwa hakitakuuma
 
Habar za Mida wanajamvi!
Kimsingi sitaki kusema mengi Kwan kichwa cha uzi kishajieleza hapo juu.
Imefikia hatua ambapo gharama za maisha zinapanda kwa kasi Sana na CHANZO kikubwa kikiwa ni Hawa Dada zetu.
Yaan kupendana mnapendana wote Lakin ukitaka mkaishi pamoja kama wife & husband inabidi umtolee mahali, kwann lakn?Wanaume Kwanin hizo pesa tusinunue mashine ya kufulia nguo (washing machine),au kuwasaidia wazazi wetu(mama) nyumban.

Yaan Hawa wanawake hawana shukran unaweza kukata shauri ukamuoa na akawa na kazi Yake inayomuingizia kipato Lakin bado utasikia"Baby leo nataka nkasuke American style nipe elfu sabin(70000)".kiukwel this is NONSENSE Kwanin wanaume hiyo pesa ya kumpa huyo mwanamke usinunue luku ya umeme mwez mzma.?

KINACHONIKERA SASA:Mwanaume Unaweza jituma katka sekta zote yaan namaansha kutafuta maisha na kitandan ukawa mzuri haswa yaan kipenga kikipulizwa hakuna half time mpaka dakika tisini zinaisha still huyo mwanamke Anaona hufai anaenda kugawa kwa jiran.
Wanaume tuweni na msimamo kuanzia November hii hatuowi mpaka Hawa viumbe watakapo jirekebisha!!
Kama uko pamoja na mimi Nakuombea mafanikio katka kipind cha kuvumilia na kupiga nyeto kwa hasira. Kikubwa WAZO na LENGO letu liwe moja!!
hahahahahaaa daahh umenchekesha kichiz!! xaxa broh unafikiri unaeza ukainfuence wanaume tuache kuoa halafu tupige punyeto!!! embu acha masiara na papuchi wewee ... kitakachotokea apo ni dada zetu watahamia kwa mapedeshee tu na watatumiwaa ukoo kwa sababu hata wenyewe hawataki kuolewa wanataka hela tu kwa iyo apo tunakua hatujawakomoa wala nini. Hapo cha msingi ni wewe kutafuta hela tu mkuu na ukishazipata kuzitumia kwa kuwapa au kuwahonga ni very simple tu yani ukitoa hata huumii
 
Bachelors njooni msikilizen bachelor mwenzenu huku acha sisi tuendelee kuenjoy maisha ya ndoa.
 
hahhahhahaha acheni tu, mnadhani mnatukomoa. Aliekwambia kuwa tuna shida sana ya kuolewa ni nani?
Nawatakia mgomo mwema.
 
Sasa jirani si umuoe yule binamu yako anaekuja kukuomba mafuta ya kujipaka chumbani kwako na kanga moja? Hapo hata mahari hulipi!
 
Teh teh! Kwani unafikiri Eva/Hawa alipokubali kudanganywa kula tunda ni kwa sababu ya njaa au kutopewa matumizi na Adam, la hasha. Wanawake wengine hawajui wanachokitaka hatakama utamhudumia na kumjali kwa kila kitu. LAKINI UMESHAWAHI KUFIKIRIA KUHUSU MWANAMKE AMBAYE UKOO WAO NI WA KIZINZI miaka hata miaka(sasa iweje umzuie mtu wa hivi kuzini). KUOA AU KUOLEWA KUKO PALEPALE MAANA NI BARAKA YA BWANA.
 
Habar za Mida wanajamvi!
Kimsingi sitaki kusema mengi Kwan kichwa cha uzi kishajieleza hapo juu.
Imefikia hatua ambapo gharama za maisha zinapanda kwa kasi Sana na CHANZO kikubwa kikiwa ni Hawa Dada zetu.
Yaan kupendana mnapendana wote Lakin ukitaka mkaishi pamoja kama wife & husband inabidi umtolee mahali, kwann lakn?Wanaume Kwanin hizo pesa tusinunue mashine ya kufulia nguo (washing machine),au kuwasaidia wazazi wetu(mama) nyumban.

Yaan Hawa wanawake hawana shukran unaweza kukata shauri ukamuoa na akawa na kazi Yake inayomuingizia kipato Lakin bado utasikia"Baby leo nataka nkasuke American style nipe elfu sabin(70000)".kiukwel this is NONSENSE Kwanin wanaume hiyo pesa ya kumpa huyo mwanamke usinunue luku ya umeme mwez mzma.?

KINACHONIKERA SASA:Mwanaume Unaweza jituma katka sekta zote yaan namaansha kutafuta maisha na kitandan ukawa mzuri haswa yaan kipenga kikipulizwa hakuna half time mpaka dakika tisini zinaisha still huyo mwanamke Anaona hufai anaenda kugawa kwa jiran.
Wanaume tuweni na msimamo kuanzia November hii hatuowi mpaka Hawa viumbe watakapo jirekebisha!!
Kama uko pamoja na mimi Nakuombea mafanikio katka kipind cha kuvumilia na kupiga nyeto kwa hasira. Kikubwa WAZO na LENGO letu liwe moja!!
Me nafikiri tuanzie kwenye viungo vyako kwanza, ukiwa mtupu kuna vifaa vya ziada vilivyoning'inia chini yako ukilinganisha na mwanamke. Yeye si kwamba tu hana bali kapunguziwa hata ile halali yake, ndo maana hayuko flat.
Issue hapa ni kufanya compensation, una cha ziada mpunguzie na mwenzio. Acha tuwafidie bhana.
Mbona wenye mishahara mikubwa inashushwa na wenye midogo inapanda, husemi kitu?
 
Back
Top Bottom