Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Wakuu leo nmewaza sana, unakuta kipind huna hata mia ulikua na kidem chako flan kibovu, ila kilikupenda na hal yako hyo hyo, ukipata hela unampiga chin unachkua gudude ambao kipind kile huna hata mia asingeweza hata geuza jicho lake kwako
Hii ni mbaya sana kiukwel,.. Dhamb hii tuiepuke... Mfano wa wadau ambao wameweza bak na madem zao na ubov wao huo huo ni kama
1.masanja mkandamizaj
2.roma
3.joe
4.babuu wa kitaa
5.waheshimiwa weng
6,sama goal
7,prof j
Na wengne weng
Mim bnafs kuna dem niliwai kuwa nae, ila daaah, shetan aliniweza nkampiga chin
Ila nakumbuka nilimfungulia biashara nzur baada ya kumwacha ambayo imempa manufaa makubwa sana had leo tunawasiliana vzur na hajutii kunifaham. ..
Uzi tayar
Hii ni mbaya sana kiukwel,.. Dhamb hii tuiepuke... Mfano wa wadau ambao wameweza bak na madem zao na ubov wao huo huo ni kama
1.masanja mkandamizaj
2.roma
3.joe
4.babuu wa kitaa
5.waheshimiwa weng
6,sama goal
7,prof j
Na wengne weng
Mim bnafs kuna dem niliwai kuwa nae, ila daaah, shetan aliniweza nkampiga chin
Ila nakumbuka nilimfungulia biashara nzur baada ya kumwacha ambayo imempa manufaa makubwa sana had leo tunawasiliana vzur na hajutii kunifaham. ..
Uzi tayar