Wanaume wenzangu hivi mkitoka out siku ya kwanza huwa mnapiga stori gani? Nimeachwa mara ya pili hii kwa kukosa 'interesting story'

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
3,974
12,964
Hii inanikuta sasa ..

Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..

Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....

Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..

Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
 
Hii inanikuta sasa ..

Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo " nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..

Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....

Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo ..nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..

Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena ..
Huwezi kujisifia kuwa una kampuni kubwa😁😁😁😁wafanyakazi wako wanakupenda nk...

Ukitaka mambo hayo uwe mzuri kwenye uongo😁😁
 
Mwanamme unatakiwa kuwa na maneno kuliko mtangazaji wa redio.

Halafu, unatakiwa kujua kumsoma mwanamke, anayependa maneno umpe maneno, asiyependa maneno usimpe maneno, mwingine anapenda mambo ya kuchekeshwa, uwe mcheshi, mwingine yuko serious ujue interests zake ziko wapi ili uende naye vizuri.

Tafuta kujua interests zake ziko wapi, ukiweza kuzijua, mtaongea vizuri tu.

Kuna mtangazaji mmoja wa televisheni za Marekani alikuwa anakwenda kumuhoji Fidel Castro Cuba, miaka ya mwanzo kabisa ya Castro kuchukua nchi Cuba.

Sasa, Castro alikuwa anajifanya mgumu sana kwenye mahojiano. Alikuwa very formal, alikuwa anataka mazungumzo yapitie kwa mkalimani kutoka Kiingereza kwenda Kihispania na vice versa.

Yule mtangazaji akaona hapa kutakuwa na ugumu sana wa kuwasiliana.

Akatafuta kujua Castro anapenda kitu gani? Akagundua Castro anapenda mchezo wa baseball.

Basi mtangazaji baada ya salamu tu, hakumuuliza Castro jambo la siasa wala uchumi, alianza kuuliza swali la baseball. Kwa kuwa Castro alipenda sana kuzungumzia baseball, alilainika mwenyewe akasahau itifaki za mazungumzo kupitia kwa mkalimani. Castro akajikuta anaongea Kiingereza moja kwa moja na yule mtangazaji.

Kuanzia hapo mtangazaji akapata urahisi wa kuuliza maswali yake mengine ya siasa moja kwa moja kwa Kiingereza.

Inabidi kuwa mjanja kujua kumsoma mtu na kufanya maongezi ya vitu anavyopenda.
 
😊😊 si wao wenyewe wanasemaga ni pesa yako tu ndiyo inaongea, au gia imebadilika tayari.


Ila kwa kesi yako sidhani ni kukosa stories, nafikiri kuna namna unabehave inawakimbiza.
Labda unajisifia sana, labda una over do vitu fulani, unapania sana kuvaa vizuri hadi unatoka nje ya mstari, sababu application ya chochote inatakiwa iwe kwa kiasi, hata stories zenyewe ukiover do ni turn off pia.


By the way,
kuhusu maongezi ina depend na alivyo date wako.
Kama ni mtu anayependa movies, sports, buruduni na vi gossip vya hapa na pale vya wasanii wakubwa ndani na nje, elimu za aina fulani, siasa na kadhalika anzieni huko then mtatoboa na kupenya kwingine.

Msome haraka anatabasamu angle zipi. Kama ni mtu wa urembo anzia na kumsifia anavyojua kupigilia muulize anawezaje, anamtazama nani na vitu kama hivyo.

Kama ni mjasiriamali utapata tu angle ya kuegemea.

Tatizo focus yako ikiwa kwenye kupata utamu wake tu akili yako haitakuwa huru.
 
Hii inanikuta sasa ..

Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo " nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..

Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....

Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo ..nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..

Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena ..



Umekosa hela sio story, mpeleke Hotel ya nyota 3, ale pork ribs kama ataacha kuunga story. Wewe unampeleka kwa uncle Ustadhi mwa chips za 3000 story zitatoka wapi?
 
Kasome Fleming's Right Hand Rule utapata majibu

RightHandOutline.png
 
Mwanamme unatakiwa kuwa na maneno kuliko mtangazaji wa redio.

Halafu, unatakiwa kujua kumsoma mwanamke, anayependa maneno umpe maneno, asiyependa maneno usimpe maneno, mwingine anapenda mambo ya kuchekeshwa, uwe mcheshi, mwingine yuko serious ujue interests zake ziko wapi ili uende naye vizuri.

Tafuta kujua interests zake ziko wapi, ukiweza kuzijua, mtaongea vizuri tu.

Kuna mtangazaji mmoja wa televisheni za Marekani alikuwa anakwenda kumuhoji Fidel Castro Cuba, miaka ya mwanzo kabisa ya Castro kuchukua nchi Cuba.

Sasa, Castro alikuwa anajifanya mgumu sana kwenye mahojiano. Alikuwa very formal, alikuwa anataka mazungumzo yapitie kwa mkalimani kutoka Kiingereza kwenda Kihispania na vice versa.

Yule mtangazaji akaona hapa kutakuwa na ugumu sana wa kuwasiliana.

Akatafuta kujua Castro anapenda kitu gani? Akagundua Castro anapenda mchezo wa baseball.

Basi mtangazaji baada ya salamu tu, hakumuukiza Castro jambo lansiasa wala uchumi, alianza kuuliza swali la Baseball. Kwa kuwa Castro alipenda sana kuzungumzia baseball, alilainika mwenyewe akasahau itifaki za mazungumzo kupitia kwa mkalimani. Castro akajikuta anaongea Kiingerwza moja kwa moja na yule mtangazaji.

Kuanzia hapo mtangazaji akapata urahisi wa kuuliza maswali yake mengine ya siasa moja kwa moja kwa Kiingerwza.

Inabidi kuwa mjanja kujua kumsoma mtu na kufanya maongezi ya vitu anavyopenda.
Lakini kama mwanamke sio mshamba-mshamba, inabidi na yeye awe active kwenye maongezi, sio kusubiri tu wewe uanzishe mada. Labda kama hakupendi.
Lakini ukiona umeongea mambo ya msingi na umemaliza, mruhusu aondoke. Next time utakuwa more smarter.
 
Hii inanikuta sasa ..

Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..

Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....

Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..

Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
Umewahi kusikia kitu inaitwa domo zege?
 
Back
Top Bottom