Ndege Tausi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 992
- 472
kama mume mkewe hajabahatika kumzalia mtoto. lakini mume anaye mwanamke nje ya ndoa anamzalia watoto halafu mwanaume huyo anaendelea kumwambia mkewe eti bado anampenda sana, je ni kweli anampenda mkewe? Naomba wajibu wanaume ambao hili jambo limewatokea tafadhali.
Sijui ni uzoefu wa aina gani unauhitaji kwenye hili lakini mi naona hili linaweza kujibiwa na yoyote yule anaethamini ubinadamu
Ubarikiwe sana ndugu yangu. Uzoefu ninaouzungumzia ni kama huo wa huyo mume wa kuwa na mke ambaye hakuzaa na hawara ambaye kamzalia. Nilihitaji wanipe ule ukweli ulioko ndani ya mioyo yao kama bado wana mapenzi na wake zao au ni fix tu.
kama mume mkewe hajabahatika kumzalia mtoto. lakini mume anaye mwanamke nje ya ndoa anamzalia watoto halafu mwanaume huyo anaendelea kumwambia mkewe eti bado anampenda sana, je ni kweli anampenda mkewe? Naomba wajibu wanaume ambao hili jambo limewatokea tafadhali.
Sijui ni uzoefu wa aina gani unauhitaji kwenye hili lakini mi naona hili linaweza kujibiwa na yoyote yule anaethamini ubinadamu
Kimsingi hakuna anaeweza kuwa na mapenzi na watu wawili tofauti
Mapenzi huenda na kuheshimiana pia
Huwezu kudai una mapenzi na mtu halafu una mwanamke mwingine huo ni uongo
Suala la kupata mtoto ni majaaliwa na mtu yoyote anaefikiri kidogo tu anaweza kuliona hilo
Kama mmekwenda hospital na kuangalia na mkaambiwa hakuna mwenye matatizo ni kwanini unamuadhibu mwenzako kwa adhabu ya kibazazi kama hii?
Kwanini usimuache tu akajua moja?
Kama wewe mtoa mada ni mwanamke tambua hapo huyo jamaa hakuwa anajua hata upendo ni kitu gani wakati anakuona na hajui upendo ni kitu gani
Wakati anakuoa alikuwa anakuona kama mashine ya kufyatua watoto na sio kweli kuwa alikupenda kama alivyokuwa anakuambia
Kama anakupenda ni kwanini afanye jambo la hovyo kama hilo?
Mtoto ni kitu gani hadi uamue kumfanyia mwenzako unyama wa aina hii?
Huwa sipendi sana hii .......!!!!!!
Huko ughaibuni (hasa nchi za magharibi) kuna kitu kinaitwa kuasili watoto(adoption) hivyo kwa wanandoa ambao kwao inashindikana kuwa na biological children huwa wanaasili.
Huyu mume alikataa kata kata kuhusu kuasili kwa kisingizio cha tabia wanazoweza kuwa nazo hao watoto.
Huko ughaibuni (hasa nchi za magharibi) kuna kitu kinaitwa kuasili watoto(adoption) hivyo kwa wanandoa ambao kwao inashindikana kuwa na biological children huwa wanaasili. Tatizo kwetu hilo jambo bado halijazoeleka/kukubalika hivyo kwa wanaume wengi ambao wanatamani kuwa baba lakini wake zao ndo wanamatatizo jamii iliyozunguka mara nyingi huwashawishi kuacha alama kwa kupitia vimada so unakuta mwanaume anakupenda lakini kuna presha za ndugu wazazi n.k sasa ili kupambana nazo na kuwa na win win situation hufanya hivyo. Ila mimi hayajanifika lakini naifaham presha kutoka kwa ndugu na jamaa.
Kuasili watoto mume alikataa kwa madai eti tabia zao zinaweza kutusumbua. Kuhusu pressure ya ndugu zake mume, nahisi kama kawaida ya miafrika mume anazipata.
je ikiwa mwanaume hana uwezo wa kuzaa,
mke akazaa na mwanaume mwengine, na akamwambia mumewe anampenda...
je unadhani ni kweli anampenda mumewe?
kama mume mkewe hajabahatika kumzalia mtoto. lakini mume anaye mwanamke nje ya ndoa anamzalia watoto halafu mwanaume huyo anaendelea kumwambia mkewe eti bado anampenda sana, je ni kweli anampenda mkewe? Naomba wajibu wanaume ambao hili jambo limewatokea tafadhali.
Sijui ni uzoefu wa aina gani unauhitaji kwenye hili lakini mi naona hili linaweza kujibiwa na yoyote yule anaethamini ubinadamu
Kimsingi hakuna anaeweza kuwa na mapenzi na watu wawili tofauti
Mapenzi huenda na kuheshimiana pia
Huwezu kudai una mapenzi na mtu halafu una mwanamke mwingine huo ni uongo
Suala la kupata mtoto ni majaaliwa na mtu yoyote anaefikiri kidogo tu anaweza kuliona hilo
Kama mmekwenda hospital na kuangalia na mkaambiwa hakuna mwenye matatizo ni kwanini unamuadhibu mwenzako kwa adhabu ya kibazazi kama hii?
Kwanini usimuache tu akajua moja?
Kama wewe mtoa mada ni mwanamke tambua hapo huyo jamaa hakuwa anajua hata upendo ni kitu gani wakati anakuona na hajui upendo ni kitu gani
Wakati anakuoa alikuwa anakuona kama mashine ya kufyatua watoto na sio kweli kuwa alikupenda kama alivyokuwa anakuambia
Kama anakupenda ni kwanini afanye jambo la hovyo kama hilo?
Mtoto ni kitu gani hadi uamue kumfanyia mwenzako unyama wa aina hii?
Huwa sipendi sana hii .......!!!!!!
je ikiwa mwanaume hana uwezo wa kuzaa,
mke akazaa na mwanaume mwengine, na akamwambia mumewe anampenda...
je unadhani ni kweli anampenda mumewe?