Wanaume wengine hawajali wakezao.

Machuchu

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2017
Posts
1,260
Reaction score
965
Kuna wanaume hawajali mke ila sio wote, ila kwa sasa nazan kama imezidi kila mtu analalamikia hawa viumbe. Kuna ndugu yangu analalamika haachiwi ela ya matumizi na mume ni mtu wa kusafili. Akiludi hata kitunguu cha 100/= hana na apo kaondok amekaa kalibu miezi mi3 na akiludi anasema hana ela. Mwanamke ana mwaka wa 5 haijui nguo mpya [HASHTAG]#chupi[/HASHTAG] wala dera la kuswalia ata Iddi. Kwa kifupi hamjali mwenzake, ila mwanaume neno [HASHTAG]#NAKUPENDA[/HASHTAG] haliishi kwa mkewe.
 
Kipindi hiki cha Konda na JPM muziki anaoongoza kuwaRequested ni ule wa Billnass 'Mazoea'.
 
Kwa hiyo kwa lugha rahisi umekuja kutoa taarifa kawa huyo shemejio ni MME SURUALI EEEH!.


Mpe pole nduguyo.

Ha ha ha ha sio sina maana iyo kama mwanaum suruali ila najiulizaga kwa nini
 
Kwa hiyo ulitaka sisi tutoe msaada gani hapo kwenye hii charge sheet?
 
Kwahyo unataka tumsadie uyo shem wako kumtunza mkwewe haya toa namba yake nimuingizie chochote
 
Nakuhesabia, uzi wa tatu huu unadandia. Mods mpeni jamaa maelezo basi sio wote tunamatatizo ya kiume. Isitoshe mpaka inafika hatua ya kufungua uzi, unakua unataka kuchangia mada husika. Jamaa anazingua mno
 
Kama ameweza kuishi miaka mitano bila pesa, anajitahidi maana nijuavyo mimi mwanamke wenu huyo, kutakua na mpemba pembeni yake.
 
Hv hulijui jukwaa la matangazo madogo madogo?
 
Ndio mana huwa tunaambiwa wanawake tujishughulishe ili kuepukana na karaha hizo.

Na hata siku moja tusitegemee kwamba mwanaume atakutimizia kila kitu vipo vitu binafsi ambavyo unatakiwa kuvifanya bila hata kumshirikisha huyo mume.

Huyo anayelalamika akisema asubiri kununuliwa itafika kipindi hata hiyo chu*i ya kuvaa ataikosa.

Wanawake tuamke jamani khaa.
 
Nakuhesabia, uzi wa tatu huu unadandia. Mods mpeni jamaa maelezo basi sio wote tunamatatizo ya kiume. Isitoshe mpaka inafika hatua ya kufungua uzi, unakua unataka kuchangia mada husika. Jamaa anazingua mno
Kweli eroo. Kama vipi si afungue uzi wake mwenyewe kuliko ku paste uboya wake kwenye kila uzi
 
Kwaiyo hibie hana chupi???
 
Ha ha ha ha sio sina maana iyo kama mwanaum suruali ila najiulizaga kwa nini
Sio ujiulize mshauri ajishughulishe hata na biashara ndogondogo ili aweze kukidhi mahitaji yake binafsi.
 
Reactions: BAK
Nakuhesabia, uzi wa tatu huu unadandia. Mods mpeni jamaa maelezo basi sio wote tunamatatizo ya kiume. Isitoshe mpaka inafika hatua ya kufungua uzi, unakua unataka kuchangia mada husika. Jamaa anazingua mno

Huwa nachukiag sana na.wapo wengi wa style hiii kwan hakuna sehem husik.z matangazo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…