man like me, i want a free relationship, a girl i can believe in everything she is doing, a girl who can trust me,
a girl who can listen and advise me, a girl whom we can exchange our phones, a girl who can read my sms and i can read
her sms without any questions coz we believe that we know what we are doing, a girl who is very charming who can be more than a friends, we can chart kiasi kwamba zaidi ya mabest zake. Love z not sex, love z not commitment...love iz just insurance of life of your partner.
so ukiwa na mahusiano kama haya lazima ufurahi kwa sababu siku zote usipende kumpa mwenzio hofu, maswali na kutokuamini....kuhusu pesa kama unataka pesa unasema nipe shilingi kadhaa for A and B, siyo yeyote ile..nyingine nani ataongeza? unanipa maswali...huo ni wajibu wangu.