Waseminari ni waungwana kwasababu wamesoma falsafa na sakilogia ni wepesi kutambua mahitaji ya mwanamke. Lakini maisha ya seminary yanawafunisha kuwa wavumilivu kwahiyo wanaweza kuvumilia mapungufu ya wenzi wao. Pia wana hofu ya Mungu ambayo inawafanya wawe na hulka ya kuwathamini binadamu wenzao