Wanaume wa kenya wamelaaniwa?

Wanaume wa kenya wamelaaniwa?

Desidery

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2012
Posts
233
Reaction score
78
Nimekuwa nikifuatilia matukio mbalimbali yanayoripotiwa kwenye vyombo vya habari huko kenya na hapa Tanzania,
nimefadhaishwa sana na riporti toka kenya.
kwa muda wa juma moja imeripotiwa kwamba
1. kuku wawili wamebakwa hadi kufa
2. jumatatu mbuzi 1 kabakwa na kulawitiwa vibaya.. katokwa na damu nyingi na sijui kama atapona
3. jana kondoo mmoja kaingiliwa hadi kachanika sehemu zake za siri
4. Last Saturday.. wanaume watatu walim'baka punda hadi kuchanika uke wake na sehemu ya haja kubwa...

k24 Televisheni walitangaza baadhi ya matukio hayo..
kwa hapa Tanzania habari hizi zilitoka kwenye count down za Milad Ayo wa Clouds FM... Nadhani hata kwenye blog yake atakuwa ameziweka..

jamaa wanamwingilia punda hadi anachanika!!!!!!
je binadamu mwanamke si kifo..

jamani mnasemaje juu ya hayo
ni tamaa kupita kiasi au nini kimewafanya wawe hivyo????

Kuna matukio kibao yahusuyo ulimwengu wa mapenzi kwa wakenya
 
Kuna mtu aliwahi kuanzisha thread kuhusu kuwaingilia wanyama

Mshangao walikuja wachangiaji wengi mno waliokiri wao kufanya matendo hayo

Walijinasabisha na utanzania
 
Mh kwani ule mgomo wa hao wanaume kuwagomea unyumba wake zao umewageukia sasa wanawake wamegoma?
 
Nimekuwa nikifuatilia matukio mbalimbali yanayoripotiwa kwenye vyombo vya habari huko kenya na hapa Tanzania,
nimefadhaishwa sana na riporti toka kenya.
kwa muda wa juma moja imeripotiwa kwamba
1. kuku wawili wamebakwa hadi kufa
2. jumatatu mbuzi 1 kabakwa na kulawitiwa vibaya.. katokwa na damu nyingi na sijui kama atapona
3. jana kondoo mmoja kaingiliwa hadi kachanika sehemu zake za siri
4. Last Saturday.. wanaume watatu walim'baka punda hadi kuchanika uke wake na sehemu ya haja kubwa...

k24 Televisheni walitangaza baadhi ya matukio hayo..
kwa hapa Tanzania habari hizi zilitoka kwenye count down za Milad Ayo wa Clouds FM... Nadhani hata kwenye blog yake atakuwa ameziweka..

jamaa wanamwingilia punda hadi anachanika!!!!!!
je binadamu mwanamke si kifo..

jamani mnasemaje juu ya hayo
ni tamaa kupita kiasi au nini kimewafanya wawe hivyo????

Kuna matukio kibao yahusuyo ulimwengu wa mapenzi kwa wakenya

nahisi wakenya wamechoka kuoa na kuolewa. Sijui ni sababu ya kupigwa na wake zao......
 
kusema kweli hili suala limekuwa serious huko kenya.
napenda sana kufuatilia habari za wakenya.. maana kuna wakati nilisikia eti UKIM'BAMBIA mwenzako kisha akapandisha mori kisha ukashindwa kumshusha akikushtaki unatozwa faini...
mwezi june huu nisikia wanaume wakenya wanatakiwa kuoa wake watatu kila mmpja!!!!!
sasa hii ya wanyama ndio imeniacha kinywa wazi... maana punda jike huvumilia ashakumu ya punda dume.. lakini mkenya kauchana uke wa punda dume... dada zangu mpo? je wewe binadamu si balaa litakukuta
 
Nimekuwa nikifuatilia matukio mbalimbali yanayoripotiwa kwenye vyombo vya habari huko kenya na hapa Tanzania,
nimefadhaishwa sana na riporti toka kenya.
kwa muda wa juma moja imeripotiwa kwamba
1. kuku wawili wamebakwa hadi kufa
2. jumatatu mbuzi 1 kabakwa na kulawitiwa vibaya.. katokwa na damu nyingi na sijui kama atapona
3. jana kondoo mmoja kaingiliwa hadi kachanika sehemu zake za siri
4. Last Saturday.. wanaume watatu walim'baka punda hadi kuchanika uke wake na sehemu ya haja kubwa...

k24 Televisheni walitangaza baadhi ya matukio hayo..
kwa hapa Tanzania habari hizi zilitoka kwenye count down za Milad Ayo wa Clouds FM... Nadhani hata kwenye blog yake atakuwa ameziweka..

jamaa wanamwingilia punda hadi anachanika!!!!!!
je binadamu mwanamke si kifo..

jamani mnasemaje juu ya hayo
ni tamaa kupita kiasi au nini kimewafanya wawe hivyo????

Kuna matukio kibao yahusuyo ulimwengu wa mapenzi kwa wakenya

Sio wa Kenya tu, hukusikia habari ya usukumani Mwanza ambako bwana mmoja alikutwa akimwingilia mbuzi akaozeshwa "mee" huyo. na wanaume watatu hapa Bongo wanao share mwanamke mmoja, wawili (A na Am) wakiwa na ndoa nae na wa tatu ni nyemelezi?
Dunia ya kisasa hii !!!! Cheza weye
 
Back
Top Bottom