Wanaume wa JF sio wakweli hata kidogo

Umenena ukweli mtupu hapa JF usanii mwingi ndo unatoboa
Mfano mimi nikitumia ID yangu hii ambayo nimejiweka wazi kwamba mimi ni muuza majeneza ila cha ajabu kila mrembo nkimtokea anaishia kunikataa !
Lakini nikilogin kwa id yangu fake ambayo imejaa posti za uongo mtupu kuhusu biashara za magari na michongo ya America nikimfuata mdada huyo huyo inbox nikaomba mzigo huwa hawachomoi (wanaamini nina hela sana kutokana na posti zangu za hiyo id)
Sasa kwa hali hiyo kwa nn tusiwatafune kwa uongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…