Wanaume tuwe makini na wachungaji

Bora mmeshajionea wenyewe uchungaji na uzinzi wapi na wapi heshima yao imeshuka wala hawana thamani yoyote na hiyo yote ni shauri ya kutomjua mungu wa Kweli ,faida ya kuabudu sanam la mzungu ndo ilo
Na hawa wanaobaka na kulawiti vitoto vya madrasa ambavyo hata kufua pichu haviwezi wanapigwa miaka thelathini magereza wanaabudu Mungu gani, na wanaabudu sanam za nani?
 
Na hawa wanaobaka na kulawiti vitoto vya madrasa ambavyo hata kufua pichu haviwezi wanapigwa miaka thelathini magereza wanaabudu Mungu gani, na wanaabudu sanam za nani?
Na wewe ni mchungaji nini mbona unataka kututoa nje ya mada, sisi tunazungumzia kushuka kwa maadil kwa wachungaji wetu wewe unaleta udini wako hapa'
 
Na wewe ni mchungaji nini mbona unataka kututoa nje ya mada, sisi tunazungumzia kushuka kwa maadil kwa wachungaji wetu wewe unaleta udini wako hapa'

Jibu hoja wewe ndiyo ulianza kuleta udini kujifanya kwako kuna mungu bora zaidi! umeulizwa huko kwenye mungu bora mbona watoto wanalawitiwa pia?
 
Na sisi wanawake tufuatilie waume zetu na watoto wetu wa kiume kwa karibu manake huko makanisani viongozi wengi wa makanisa wanawalawiti wanaume wenzao na watoto wa kiume!
Hii ni hatari!!

Duuu hii ni noumaaaaa
 

Kwa kulitambua hilo ndo maana wakatoliki wakapendekeza mapadri wasioe huwezi kutumikia familia na kanisa kwa usawa.
 

Baasiiii yani mtu wa tatu ni umbeya kaka hapo umemaliza sina hata lakuongezea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…