Wanaume siyo machine za ATM

Wanaume siyo machine za ATM

Abdul mrope

Member
Joined
Jul 6, 2017
Posts
37
Reaction score
79
Hivi nyie wadada huwa mna maana gani?
Mnapo tongozwa alafu unamuuliza mwanaume"UNA MPENZI"ivi huwa mnategemea jibu gani?
Au unataka aseme yeye ni BIKIRA?
Kwa leo naishia hapa kesho nitaendelea tena
 
Mkuu ulisahau ulichokua unataka kushare. Kichwa Cha habari kingine , yaliyomo mengine.

Sawa na yule jamaa wa tafakari time, anaulizwa kingine yeye anajibu tofauti na alivyoulizwa. Unaelewa Nini kuhusu elimu bure, akajibu naelewa ni kitanda ambacho watu wamekitandika, kukaa na kuongea ongea.
 
Mkuu endelea basi. Ili tufikie kwenye mada husika ambayo ina endana na heading yako. Au ndo ulichokua umekusudia
 
Hivi nyie wadada huwa mna maana gani?
Mnapo tongozwa alafu unamuuliza mwanaume"UNA MPENZI"ivi huwa mnategemea jibu gani?
Au unataka aseme yeye ni BIKIRA?
Kwa leo naishia hapa kesho nitaendelea tena
UMECHANGANYA MAFAILI MKUU NAHISI
 
Anataka kujua kama hayuko peke yake ajiandae kisaikolojia
 
Back
Top Bottom