Wanaume please tusaidiane

Wanaume please tusaidiane

pureman2

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
1,491
Reaction score
2,563
Wakuu nawakaribisha kwa serious talk

Kuna uzoefu flani wa maisha naukosa na hivyo naomba kuazima hekima zenu na uzoefu

Niko mkoa X , na niemeoa huku. Kwetu sisi ni mkoa Y mbali kwa mwendo wa more than 12 hrs kwa kutumia usafiri wa Bus.

Kutokana na mazingira haya , uhusiano wangu na familia ya wakwe zangu ni mkubwa mno . Mke wangu kila wiki lazima aende kwao, vikao na family issue za ukweni nashirikishwa sana. Majukumu yote hayo yanaambatana na matumizi makubwa ya kifedha achilia mbali mizinga ya wakwe, mashemeji na wajomba.

Kwa namna flani japo mwangi haujawa mzito , nahisi ndg zangu Kama hawaliziki na mazingira haya na to be frank .. ukweni wanafaidika zaidi ya upande wa familia yangu.

Hakuna taflani kubwa katika maisha ya ndoa yangu ila kwa kutafakari kwa jicho la kiume Kuna red light inaniambia nichukue kila aina ya taadhari na wala nisiendekeze hiki nachokiona kinaota mizizi

Wakuu hebu tusaidiane katika hili ili tupeane uzoefu na maangalizo ya msingi kuyazingatia katika context ya maisha yangu na ustawi wa familia yangu kwa maisha ya leo na kesho

Natanguliza shukrani zangu

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jenga familia yako mkuu wewe mke wako na watoto wako mtaozaaa

Mambo ya nani anafaidi zaidi ya mwenzake kwa kulinganisha familia sio kitu kizuri ni chuki unatengeneza moyoni

Kabla haujamuoa walikua na maisha yao

Zungumza na mkeo mueleze hali halisi izo gharama anazotengeneza zitaigharimu familia yake na sio ya wazazi wake

Tusikwame vijana mahusiano ni ukweli na uwazi kama kipato hakikidhi maitaji mwambie
 
Jenga familia yako mkuu wewe mke wako na watoto wako mtaozaaa

Mambo ya nani anafaidi zaidi ya mwenzake kwa kulinganisha familia sio kitu kizuri ni chuki unatengeneza moyoni

Kabla haujamuoa walikua na maisha yao

Zungumza na mkeo mueleze hali halisi izo gharama anazotengeneza zitaigharimu familia yake na sio ya wazazi wake

Tusikwame vijana mahusiano ni ukweli na uwazi kama kipato hakikidhi maitaji mwambie
Asante Mkuu
Kuna msisitizo umeuweka bayana nitauzingatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo cha msingi na namna ya kuweka sawa mahesabu yako kutokana na kipato chako , na mshirikishe mke wako ila kuwa makini unapompa tarifa hizo huwezijua atazipokeaje....!
Tumia hiyo akili iliyokufanya ushituke ila busara ziwe nyingi kwenye kubadili hayo mazoea uliyokuwa umeyaweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana hayo mambo ni changamoto. Ila usijaribu kulinganisha faida za upande upi unafaidika ila hakikisha mipango ya kustawisha familia yako inafanikiwa.
 
Mkuu hapo cha msingi na namna ya kuweka sawa mahesabu yako kutokana na kipato chako , na mshirikishe mke wako ila kuwa makini unapompa tarifa hizo huwezijua atazipokeaje....!
Tumia hiyo akili iliyokufanya ushituke ila busara ziwe nyingi kwenye kubadili hayo mazoea uliyokuwa umeyaweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu
Hekima iniongoze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kitendo cha mke wako kuwa kiguu na njia kwao kila akijisikia ni hatari sana kwako mkuu, mke anaenda huko kwa issues muhimu tu, unless kama na wewe unafurahia kupunguza gharama kwa kumsend wife kwao.

Kitendo cha kumpa ruhusa mkeo aende kwao kila mara unakuwa kama hujaoa mzee, aende huko mara moja moja sana, kwa sababu maalumu.

Kuhusu kutoa kwa wakwe, toa Kwa uwezo wako, ithiathiri maisha yako na matumizi ya ndani kwako.

Note: Angalia sana usije kujenga huko na kubakia huko, unaweza ukasahaulika kabisa na wakwenu.
 
Dah....madini haya yameanza kushushwa.

Point hii ya mwisho naitake note mara moja
Kwanza kitendo cha mke wako kuwa kiguu na njia kwao kila akijisikia ni hatari sana kwako mkuu, mke anaenda huko kwa issues muhimu tu, unless kama na wewe unafurahia kupunguza gharama kwa kumsend wife kwao.

Kitendo cha kumpa ruhusa mkeo aende kwao kila mara unakuwa kama hujaoa mzee, aende huko mara moja moja sana, kwa sababu maalumu.

Kuhusu kutoa kwa wakwe, toa Kwa uwezo wako, ithiathiri maisha yako na matumizi ya ndani kwako.

Note: Angalia sana usije kujenga huko na kubakia huko, unaweza ukasahaulika kabisa na wakwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichokiona kwa ni upendo uliopitiliza,
sawa upendo ni japo jema upendo ni moja kwa ya kitu nitacholeta amani iliyo ya kweli sema unashaona upendo unakupa maswali moyoni au unaathiri maendeleo ya maisha na familia yako ni tatizo.

Kwa namna ulivyoeleza kuwa Karibu na wakwe ni jambo jema lakin kuwa karibu sana ni kosa tayari ndio maana imekua rahisi wao kuleta shida zao kwako.

Kwa ulipofikia sasa inakupasa utumie akili na hekima kubwa kuona namna yakupunguza taratibu ukaribu uliopo sasa nikazie utumie akili kweli ili usije ukaharibu yakaanza maneno na kwakua ni watu ambao unawajua vizuri ukianza na mke nirahisi kwako ni jinsi gani utapunguza.

Note: weka hekima na akili mbele usiharibu kesho yako uwezi jua pengine wakawa na msaada kwako kesho kwa namna moja ama nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichokiona kwa ni upendo uliopitiliza,
sawa upendo ni japo jema upendo ni moja kwa ya kitu nitacholeta amani iliyo ya kweli sema unashaona upendo unakupa maswali moyoni au unaathiri maendeleo ya maisha na familia yako ni tatizo.

Kwa namna ulivyoeleza kuwa Karibu na wakwe ni jambo jema lakin kuwa karibu sana ni kosa tayari ndio maana imekua rahisi wao kuleta shida zao kwako.

Kwa ulipofikia sasa inakupasa utumie akili na hekima kubwa kuona namna yakupunguza taratibu ukaribu uliopo sasa nikazie utumie akili kweli ili usije ukaharibu yakaanza maneno na kwakua ni watu ambao unawajua vizuri ukianza na mke nirahisi kwako ni jinsi gani utapunguza.

Note: weka hekima na akili mbele usiharibu kesho yako uwezi jua pengine wakawa na msaada kwako kesho kwa namna moja ama nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah.... thanks sana mkuu
Umenielewa zaidi ya nilivyojieleza.
Mtihani ni kubalance kwa hekima maamzi nayotaka kuyachukua . Ila barikiwa sana brother

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jenga familia yako mkuu,hakuna atakayeridhika na msaaada wako hata kama uwe unatoa kila siku.
 
Back
Top Bottom