sasa labda mnisaidie na hili: Mimi kuna shost wangu ameishi na mwanaume miaka zaidi ya kumi sasa na huyo bwana alipata bahati ya kwenda kusoma uk alipomaliza shule akaamua na kuchukua uraia wa uk kabisa. Walizaa mtoto mmoja ambapo huyo bwana alipopata uraia akamchukua mwanae kwenda kuishi naye huko ila huyu shost akamwacha huku. Kila kukicha ni promises za kumwoa na kumhamishia uk lakini cha kushangaza miaka inazidi kuyoyoma dada wa watu yuko bado hapa bila bila. Sasa mdada amepata mtu mwingine hapa bongo na anataka kumwoa kikwelikweli. Huyu mdada anataka kukubali ndoa na huyu jamaa baada ya kuona miyeyusho ya huyo mchumba wa uk imezidi. Sasa anajiuliza je kwa miaka yote waliyokaa na huyo bwana na wana nyumba na magari walipata wakiwa pamoja kwa huo muda vitagawanyika vipi na je katika kugawana mali atajua huyo mtu huko uk ana utajiri kiasi gani ili kama ni pasu kwa pasu wagawane?? Nimeiweka hapa ili kama kuna mtu mwenye kujua zaidi amshauri huyu mdada maana ni rafiki yangu na sitaki adhulumiwe. Thanks
baadhi ya hasara kwa mtizamo wa kiumeni ni:
1. kupoteza uhuru wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengine (wanaume wanapenda sana "kubadili mboga", hata mwanamke wake awe mzuri vipi)
2. Kuingiliwa katika maisha yake. Wanawake huwa wanapenda kujua kila kitu kuhusu waume zao. Wengi hawawezi kujizuia kuchungulia simu za waume zao. Sasa wanaume wengine hawapendi hili, wanapenda kuwa na privacy kwenye baadhi ya maeneo. Ila ni vigumu kumficha mtu unayelala naye kila siku especially anapokuwa mdadisi.
3. Kupora utajiri wake ikitokea talaka. Wanaume wengi hawakubaliani na falsafa ya kwamba kuwa mke wa fulani ni qualification ya kupata nusu ya mali zake. Bora kuwe na mkataba wa ndoa, na mkataba wa "business partnership" kama unataka mgao wa mali. Lakini sio utaratibu wa sasa ambapo mkataba wa ndoa automatically unatumika kama business partnership linapokuja suala la talaka.
Sasa na wewe nipe faida za ndoa kwa mwanaume, na je faida hizo ni lazima kuwe na ndoa ndio azipate?
duu si mchezoBaadhi ya hasara kwa mtizamo wa kiumeni ni:
1. Kupoteza uhuru wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengine (wanaume wanapenda sana "kubadili mboga", hata mwanamke wake awe mzuri vipi)
2. Kuingiliwa katika maisha yake. Wanawake huwa wanapenda kujua kila kitu kuhusu waume zao. Wengi hawawezi kujizuia kuchungulia simu za waume zao. Sasa wanaume wengine hawapendi hili, wanapenda kuwa na privacy kwenye baadhi ya maeneo. Ila ni vigumu kumficha mtu unayelala naye kila siku especially anapokuwa mdadisi.
3. Kupora utajiri wake ikitokea talaka. Wanaume wengi hawakubaliani na falsafa ya kwamba kuwa mke wa fulani ni qualification ya kupata nusu ya mali zake. Bora kuwe na mkataba wa ndoa, na mkataba wa "Business Partnership" kama unataka mgao wa mali. Lakini sio utaratibu wa sasa ambapo Mkataba wa Ndoa automatically unatumika kama Business Partnership linapokuja suala la talaka.
Sasa na wewe nipe faida za ndoa kwa mwanaume, na je faida hizo ni lazima kuwe na ndoa ndio azipate?
kwani kutulia na mpenzi 1 kwa wanaume ni ngumu sana?
Kwenye kuingiliwa maisha - inabidi ukioa ujue mmekua kitu kimoja kwann mkeo asijue maisha yako yakoje?
Kwa kuporwa utajiri basi jitahidi ukishaoa kusiwe na talaka
Mom bwana, kwani wewe hujui hilo?
Hapana. Lazima kuna maeneo yawe off limits. Hata mama huwa hajui kila kitu cha mwanae.
Hakuna anayependa talaka, lakini pale inapobidi watu kuacgana ndio hivyo tena inabidi kuwe na "exit strategy" inayoridhisha.
Ila hujanipa faida bado. Zamu yako sasa.
Ingekuwa baada ya ndoa maisha ni kama kabla ingekuwa nafuu
Sasa labda mnisaidie na hili: Mimi kuna shost wangu ameishi na mwanaume miaka zaidi ya kumi sasa na huyo bwana alipata bahati ya kwenda kusoma UK alipomaliza shule akaamua na kuchukua uraia wa UK kabisa. Walizaa mtoto mmoja ambapo huyo bwana alipopata uraia akamchukua mwanae kwenda kuishi naye huko ila huyu shost akamwacha huku. Kila kukicha ni promises za kumwoa na kumhamishia UK lakini cha kushangaza miaka inazidi kuyoyoma dada wa watu yuko bado hapa bila bila. Sasa mdada amepata mtu mwingine hapa bongo na anataka kumwoa kikwelikweli. Huyu mdada anataka kukubali ndoa na huyu jamaa baada ya kuona miyeyusho ya huyo mchumba wa UK imezidi. Sasa anajiuliza je kwa miaka yote waliyokaa na huyo bwana na wana nyumba na magari walipata wakiwa pamoja kwa huo muda vitagawanyika vipi na je katika kugawana mali atajua huyo mtu huko UK ana utajiri kiasi gani ili kama ni pasu kwa pasu wagawane?? Nimeiweka hapa ili kama kuna mtu mwenye kujua zaidi amshauri huyu mdada maana ni rafiki yangu na sitaki adhulumiwe. thanks