Bibie! unadhani bila wewe kueleza amekufanya nini sisi tutajuaje? Huenda hata ww umemkosea mwenzio, hivyo funguka kwanza.
Kwa anachonitenda mume wangu nachelea kusema wazi kuwa ni vigumu sana kwa wanaume kuurithi ufalme wa mbingu,tumetoka nae mbali,leo ameamua kunifanyia hivi,jamani naomba ushauri wenu kabla sijafanya jambo baya!