Wanaume mjifunze hapa

Huyu bwana anasherekea miaka 20 ya ndoa yake.
Hajawahi mpandishia sauti kumfokea mkewe,hajawahi mpiga na hawajawahi kugombana.

Nimemaliza.
View attachment 2360750View attachment 2360751
Hata ukimwekea mwanaume limbwata awe anafuata kila maelekezo unayoyatoa kama mtoto wako mwisho wa SIKU roho itakusuta.Utajiona unafanya upumbavu tu.Mwanaume akiishi miaka 20 bila hata kukupandishia sauti hapo Kuna mume au mume mfu .Utaanza kujiuliza HUYU mwanaume wa aina gani.Unarudi umelewa,watoto huwaangalii,pesa UNATUMIA ovyo,humuheshimu ,umechelewa kupika ,Una michepuko, ni mchafuu .Alafu Huyo mwanaume hata asikukemee au kukufokea miaka 20
labda umeolewa na ndondocha au zezeta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…