Hata ukimwekea mwanaume limbwata awe anafuata kila maelekezo unayoyatoa kama mtoto wako mwisho wa SIKU roho itakusuta.Utajiona unafanya upumbavu tu.Mwanaume akiishi miaka 20 bila hata kukupandishia sauti hapo Kuna mume au mume mfu .Utaanza kujiuliza HUYU mwanaume wa aina gani.Unarudi umelewa,watoto huwaangalii,pesa UNATUMIA ovyo,humuheshimu ,umechelewa kupika ,Una michepuko, ni mchafuu .Alafu Huyo mwanaume hata asikukemee au kukufokea miaka 20