Wanaume kuweni makini, Wanawake wengine ni gundu na mikosi kwenye maisha yako

Ww angalia msambwanda ndio kila kitu achana na mengine

Unakula msambwanda watoto wataenda shule na msambwanda utanunua nguo kwa msambwanda utajenga kwa msambwanda nyie ndo mnaokuja kuzeeka hamna hata banda la kuku
 
Unakula msambwanda watoto wataenda shule na msambwanda utanunua nguo kwa msambwanda utajenga kwa msambwanda nyie ndo mnaokuja kuzeeka hamna hata banda la kuku

Wee kima, unanijua? Nyoko wee, ww unamtegemea mwanamke aje akuletee baraka au mali kwako? Ur such a shithole, baraka au mali zote ni mwanaume, maendeleo yote ni mwanaume, ukija oa mwanamke aje na msambwanda wake tu full stop..

Ww unajua mm namiliki nn? Swine.
 
KWA HIYO MKUU KUNA KIPIMO CHA NAMNA YA KUWATAMBUA WANAWAKE HAO??
Kipo kwa mfano mdogo Kristian hufunga ndoa j.mosi saa Tisa alasiri Kama Rc kkkt n.k, Islam hawana muda halisi hi huwa wengi huchungulia nyota kwa wajuzi wa nyota ikiwa mwanamke nyota yake inanguvu kushinda ya mwanamme hugeuzwa ndio mana wakati mwingine ndoa hufungwa saa saba za usiku kutokana na hesabu za mnajim.
 
Nilipotembea nae tu, nikafukuzwa kazi! Wiki moja baadae nikapata ajari ya gari. Wiki iliyofuata, mwenye nyumba akanifukuza baada ya kuchukiwa na wapangaji wenzangu. Kwa ufupi nilipoteza kabisa ramani ya maisha.
Tulivyoachana, jamaa mwingine akabeba huo mzigo! Balaa mtindo mmoja hadi akaenda jela!

Leo miaka takribani 15 huyo mwanamke hana mume anazunnguka makanisa ya walokole bila mafanikio. Mikosi ipo sana upande wowote.
 
Vitabu vyote vitakatifu vinazungumzia kusafisha nyota kupata baraka kutafuta amani. Tafsiri ni (KUONDOA NUKSI)
 
Huko twitter wanapostigi picha alafu wanasema " tutajenga kweli"
 

Okay insane
 

Mmh
 

Pole sana
 
Kweli tupu!

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…