KWA HIYO MKUU KUNA KIPIMO CHA NAMNA YA KUWATAMBUA WANAWAKE HAO??
Dem mwenye chura hanaga gundu lakini
Ova
Gundu na mikosi iko kwa wanawake tu?
Mi naona ni imani tu, hakuna uhusiano wowote kati ya mwanamke ulie nae na mafanikio. Unaweza usiwe na mwanamke kabisa na bado mambo yakiamua kuyumba yanayumba tu.
Hakika mkuu. Kama kuna mtu atapinga hili mwambie aje kukalia nondo ya moto.
Mleta mada umenitishaaa!!!
Una gundu unasingizia wanawake.
Hata ku sex na wanawake hovyohovyo inaleta nuksi..maana maombi yako hayatasikilizwa iwe kwa Mungu ama shetani
KILA mwanaume mwenye mafanikio yupo mwanamke na KILA mwanaume masikini nyuma yake yupo mwanamke.
Ww angalia msambwanda ndio kila kitu achana na mengineKWA HIYO MKUU KUNA KIPIMO CHA NAMNA YA KUWATAMBUA WANAWAKE HAO??
Mwanamke mchafu kiroho ni ngumu Sana kuwafanikiwa
Vp hamna wanaume wenye gundu?
Tatizo letu waafrika tunapenda sana kutafuta "mchawi" pindi mambo yanapoenda ndivyo sivyo. Mafanikio ya mtu yanategemea na mtu mwenyewe, mipango aliyojiwekea, jinsi anavyoitekeleza, channel aliyo nayo na discipline yake kiujumla.. Wapo watu wanabadili wanawake kila siku na mambo ndio kwaanza yanazidi kuwanyookea, wewe kaa hapo ukisema kuna wanawake wana gundu usifanye kazi ukatafuta pesa.
Ina maana watu wenye mafanikio wao hawajawahi kukutana na huyo mwanamke mwenye gundu, wao hua wanakutana na malaika tuu? Fanya kazi acha visingizio!
Nikwel ila pia KWA WANAUME ipo
OkBoth hii kitu ipo ila me kwa upande wang nmezungumzia Wanawake