Mkuu sijajua kwanini umeuliza hivyo.ni kwamba wale ni mau ya dunia wasipo kuwa na maumbo ya kupendeza basi ungejinyonga kwani maisha yangekuwa magumu.wanaume wko hivyo kwa ajili ya ku-provide ulinzi kwa wanawake
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
masaada
kumradhi kwa wenye@#$%^i
aliyekwambia kuwa mwanaume hana makalio nani... kwani umesikia anakali mikono au kichwa..... jinsi swali lako ulivyouliza inaonekana una matatizo ya kiafya nakushauri uende hospiytal ukafanyiwe ...chekup... sikulaumu najumu maisha ndio yanaweza yakakufanya ukapoteza uwezo wako wa kufikiri... jaribu kula mlo kamili walau mara mbili tu kwa siku... lala mapema na pata mda wa kutosha w akupumzika... pia pendelea kutembelea sehem tofauti ili upanue mtazamo wako... usisahau na ibada inasaidia sana bro... nakuambia haya kwa ajili ya kuisaida familia yako na jamii inayokuzunguka maambukizi ya hayo matatizo yako yasienee...