Wanaume komeni kututisha

Anonymous

Senior Member
Joined
Apr 6, 2006
Posts
127
Reaction score
353
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
 
mimi nimefurahia tu kasi yako leo
 
Umeanza kwa ari mpya na kasi mpya haya watakuja
 
Ndoa utazisikia tu kwa wenzio iwapo utakua na mdomo mchafu.gadhabu uliyonayo utakuja kustuka una 45yrs uishie kwa vibabu na lawama chungu mzima,wanaume tuko sawa sana
 
punguza jazba kwanza alafu utape yaliyokusibu nini tatizo?
 

Huyu kavurugwa sio bure mpaka anatumia lugha ya kwao. Pole sana
 
Ukiona hivi jua umetishika
 
heee umejiunga leo tu umeingia na moto hivyo?! ............. halafu umeandika kimakonde, unafikiri wote humu ni wamakonde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…