sijaelewa kitu
sijaelewa kitu
Hii theory nzuri ila tukiifanyia practical sijui kama ita-hold at constant P; T and V
Thubutuuuuuuuuuuuuuuuu nikikutaka jamii01 hufurukuti lol
Thubutuuuuuuuuuuuuuuuu nikikutaka jamii01 hufurukuti lol
hamwelewi nini?
Neema sasa hivi nawaheshimu wanawake hasa ambao hajaolewa au wameachika ni balaa..bora ambao wameolewa wanakuwa na wasiwasi kidogo mguu mmoja ndani mwingine nje..
Nyie nanyi wagumu kuelewa.
Mshkaji anaongelea wanawake ambao wanavutiwa na kutaka kutembea na wanaume ambao wanajua fika wana watoto na familia nyumbani. Gia yao ni kujifanya rafiki mkubwa sana wa mkewe au hamjui kabisa, alafu siku mwanaume akiwa na shida ambayo huyo mwanamke anaweza kumsaidia nayo anamkamatia hapo.
Nyie nanyi wagumu kuelewa.
Mshkaji anaongelea wanawake ambao wanavutiwa na kutaka kutembea na wanaume ambao wanajua fika wana watoto na familia nyumbani. Gia yao ni kujifanya rafiki mkubwa sana wa mkewe au hamjui kabisa, alafu siku mwanaume akiwa na shida ambayo huyo mwanamke anaweza kumsaidia nayo anamkamatia hapo.
Hata kwetu wapo. Kwani nyie kwenu hakunaga?kumbe wapo diazini hizo?
wapi huko?
kumbe wapo diazini hizo?
wapi huko?