Wanaume hawajipendi na wala hawapendani

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,743
Reaction score
6,240
  1. siku zote mtu analala kwenye shuka chafu, siku akija mwanamke ndo anafua (wendawazimu).
  2. Anakula chakula cha ajabu, siku akikutaa na mwanamke ndo anatumia hala kula chakula kizuri (ujinga)
  3. anajua kabisa kua mwanamke fulani ni mke wa mtu halafu anatembea nae (roho mbaya)
  4. anaweza akaombwa hela na mwanaume mwenzake akasema hana lakini akiombwa na mwanamke akampa.
Ni ufiki kusema wanawake ndio hawapendani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…