Ndo maana watu wazima
wanazidi kupendwa,maana mapenzi
ni sanaa.Na sanaa ni mazoezi
watu wamekariri kusugua tuuuu!!
Kwani mapenzi ni kuosha masufuria?
Pamoja na baadhi ya wadada kupenda
pesa,lakini wakati mwingine
watu wazima hii sanaa wameifanya
siku nyingi hivyo wana mazoezi
ya kutosha,na vijana tubadilike
ili tusiendelee kupokonywa
na kusingizia kipato.Ni hayo TU