Wanaume acheni ubinafsi

Wanaume acheni ubinafsi

Anita Baby

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
1,265
Reaction score
541
Mi nashangaa sana viumbe nyie hasa wa siku hizi sio wote lakini, mwanamke akiomba pesa kosa la jinai utamwita majina yote mabaya kua yupo kwako after money na kibuti juu utampa.

Mwanaume akiomba pesa kwa mwanamke hakuna shida tena mnasifia sana nimepata wife material, inamaana mwanamke ndio anatakiwa kuhudumia mwanaume? Kweli kizazi cha mapinduzi.

Kama ni kusaidiana basi na nyie mkiombwa kuweni wapole na hudumieni kuna thread hapa kuna mwanaume mwenzenu kasema akiwa na shida anaomba hela na anapewa wakati yeye hajawahi kutoa hata siku moja.

Mkamsifia sana kua amepata mke kuna wengine hapa walianzisha uzi siku ya kwanza tu mwanamke kamuomba hela. mkajumuisha na wanawake wote mkaponda sana, ila mwanaume akiomba papuch first day ni sawa.

Acheni ubinafsi
 
Kuomba papuchi siku ya kwanza ndio mpango haina haja ya kuzunguka m'buyu wakati nachokihitaji kinajulikana kama ndugu ninao wa kike rafiki ninao wa kiume, siwezi kuomba urafiki kwa mtoto wa kike hapo itakuwa ni woga wa kujielezea ila ni kutafuta ukaribu wa kutimiza lengo langu ambalo naweza kuja kukueleza baadae na inawezekana ukapotezea na muda unakuwa umeenda

Mie nakuomba mwanzo kabisa ili ujue lengo langu na sio unafiki baadae
 
Tatizo mnaomba hela nje ya uwezo pia zisizo na ulazima
 
Katika ulimwengu wa sasa unaoendeshwa kwa mtindo wa nipe nikupe....hayo mambo hayashangazi.....
 
Ukiona mwanaume anaombwa pesa na anaanza kulalalamika ujue huyo hana pesa. Hakuna kitu kizuri kama kuombwa pesa uwe nazo alafu uzitoe. Kwanza ni heshima kubwa sana kwa mwanaume mpaka huyo mwanamke.
 
Inategemeana Mwanamke wa kumpa hiyo pesa,kama ni Wife unatoa tu bila yeye kuomba...ila sio Ma.l.aya
 
Yaani mwanamme unakosa hata hela ya kuhonga aaahhh. Tumieni akili bana. Bora hata ukose hela ya kula kuliko kukosa hela ya kuhonga.
 
Malaya wamekuwa wengi siku hizi. Hela imekuwa ngumu zaidi wanakuja lalamika hapa. Olewa utapata kila utakacho
 
Hata ukipewa ATM card ya mtu, bila kujua password haina faida. Kuna password ya kupata pesa kwa Mwanaume! Tatizo ni kujua hiyo password!
 
Simba jike ndio huwa analisha familia na kuitunza,kazi ya simba dume ni kuilinda na kuhakikisha usalama wa kutosha. Wanawake chukueni majukumuu ya simba jike
 
Malaya wamekuwa wengi siku hizi. Hela imekuwa ngumu zaidi wanakuja lalamika hapa. Olewa utapata kila utakacho

Utadhani ni kweli. Wake nao wanalalamika!
 
Mmekua wengi sana halafu warahisi sana,sasa kama mimi nina wife material mtarajiwa,mchepuko rasmi mmoja,michepuko isiyorasmi mitatu na wote hao wakaniomba hela nikawapa sintashindwa kujenga,wanawake wengine inabidi kuburudishana tu kama labda nataka kukupa hela mwenyewe ntakupa,after all unakuta unaesema hivyo ni mchepuko ambao ni informal tena una PAPUCHI MLEGE, mi sikupi nampatia tu yule ninayetegemea kumwoa...
 
Yaani mwanamme unakosa hata hela ya kuhonga aaahhh. Tumieni akili bana. Bora hata ukose hela ya kula kuliko kukosa hela ya kuhonga.

I love you imind 😗😗😗😗😗
 
Mmekua wengi sana halafu warahisi sana,sasa kama mimi nina wife material mtarajiwa,mchepuko rasmi mmoja,michepuko isiyorasmi mitatu na wote hao wakaniomba hela nikawapa sintashindwa kujenga,wanawake wengine inabidi kuburudishana tu kama labda nataka kukupa hela mwenyewe ntakupa,after all unakuta unaesema hivyo ni mchepuko ambao ni informal tena una PAPUCHI MLEGE, mi sikupi nampatia tu yule ninayetegemea kumwoa...

Huo sasa umalaya
 
tatizo dada ni interval za mizinga.. yaan demu anaomba leo asubuh laki mchana anataka lunch jion anataka umtoe out bado arudishwe home na taxi achilia yote anataka vocha ya mwezi na simu ya kisasa....
kwann wasiletewe zengwe..!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom