johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Enzi zile mzee Mwakitwange aliitwa Mzee wa Bahari maana ndio alikuwa akitamba sawia na Hotel za taasisi Kunduchi beach hotel, Silver sands hotel na Bahari beach hotel
Nawaona Wakili msomi Mwabukusi na Mbunge wa Mbeya Mjini Dr Tulia PhD wakiwa ndio gumzo Kwenye mambo ya Bandari kwa sasa
Rungwe Mmetisha Sana
Shikamoo Prof Mark Mwandosya 😂😂😂
Kasesela ndagha fijo 😀😀
Nawaona Wakili msomi Mwabukusi na Mbunge wa Mbeya Mjini Dr Tulia PhD wakiwa ndio gumzo Kwenye mambo ya Bandari kwa sasa
Rungwe Mmetisha Sana
Shikamoo Prof Mark Mwandosya 😂😂😂
Kasesela ndagha fijo 😀😀