Wanaopaswa kustaafu siasa ni pamoja na Kingunge

Ryaro wa Ryaro

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
2,659
1,428
Inasikitisha Kuona Wanasiasa Wanazeekea Bungeni; Leo unamsikia bibi tu mzima anaendelea kusema Mungu amjalie aendelee kuteuliwa kuwa Mbunge.

Ebu uangalie umri wa Wassira, Mrema, Sitta, Mkuchika, Mkono, Cheo , Si wafanyakazi zao za kujiajiri.

Inasikitisha Wazee Ving'ang'anizi. Ona Huyu Mbunge wa kibiti bado umri unamruhusu lakini kwa miaka yake 10 kasema hatagombea na amekabithi kijiti.

Safi sana na wengine waige mfano.
 
Inasikitisha Kuona Wanasiasa Wanazeekea Bungeni; Leo Unamsikia Bibi Mtu Mzima anaendelea Kusema Mungu amjalie aendelee Kuteuliwa Kuwa Mbunge.

Ebu uangalie Umri wa Wassira,Sitta, Mkuchika, Mkono ...... Si Wafanyekazi zao za Kujiari... Inasikitisha Wazee Ving'ang'anizi. Ona Huyu Mbunge Wa Kibiti bado Umri Unamruhusu Lakini Kwa miaka yake 10 Kasema Hatagombea na amekabithi kijiti. Safi sana na Wengine Waige Mfano

Umepotea njia mkuu...
Pandisha hili tango kule juu...
 
Inasikitisha Kuona Wanasiasa Wanazeekea Bungeni; Leo Unamsikia Bibi Mtu Mzima anaendelea Kusema Mungu amjalie aendelee Kuteuliwa Kuwa Mbunge.

Ebu uangalie Umri wa Wassira,Mrema, Sitta, Mkuchika, Mkono, Cheo , ...... Si Wafanyekazi zao za Kujiari... Inasikitisha Wazee Ving'ang'anizi. Ona Huyu Mbunge Wa Kibiti bado Umri Unamruhusu Lakini Kwa miaka yake 10 Kasema Hatagombea na amekabithi kijiti. Safi sana na Wengine Waige Mfano

Kingunge hadi ahakikishe lowasa ametinga ikulu
 
Inasikitisha Kuona Wanasiasa Wanazeekea Bungeni; Leo unamsikia bibi tu mzima anaendelea kusema Mungu amjalie aendelee kuteuliwa kuwa Mbunge.

Ebu uangalie umri wa Wassira, Mrema, Sitta, Mkuchika, Mkono, Cheo , Si wafanyakazi zao za kujiajiri.

Inasikitisha Wazee Ving'ang'anizi. Ona Huyu Mbunge wa kibiti bado umri unamruhusu lakini kwa miaka yake 10 kasema hatagombea na amekabithi kijiti.

Safi sana na wengine waige mfano.

Slaa hataki kustaafu
 
Inasikitisha Kuona Wanasiasa Wanazeekea Bungeni; Leo unamsikia bibi tu mzima anaendelea kusema Mungu amjalie aendelee kuteuliwa kuwa Mbunge.

Ebu uangalie umri wa Wassira, Mrema, Sitta, Mkuchika, Mkono, Cheo , Si wafanyakazi zao za kujiajiri.

Inasikitisha Wazee Ving'ang'anizi. Ona Huyu Mbunge wa kibiti bado umri unamruhusu lakini kwa miaka yake 10 kasema hatagombea na amekabithi kijiti.

Safi sana na wengine waige mfano.

Mkuu si ndo maana walichakachua maoni yetu wakaondoa kipengele cha ukomo wa kipindi cha mbunge
 
usipate tabu kuhusu huyo kingunge, atasaafu kesho tu baada ya mpambe wake kuenguliwa kwa kugawa fedha kama njugu. It will be a natural retirement.

Inasikitisha Kuona Wanasiasa Wanazeekea Bungeni; Leo unamsikia bibi tu mzima anaendelea kusema Mungu amjalie aendelee kuteuliwa kuwa Mbunge.

Ebu uangalie umri wa Wassira, Mrema, Sitta, Mkuchika, Mkono, Cheo , Si wafanyakazi zao za kujiajiri.

Inasikitisha Wazee Ving'ang'anizi. Ona Huyu Mbunge wa kibiti bado umri unamruhusu lakini kwa miaka yake 10 kasema hatagombea na amekabithi kijiti.

Safi sana na wengine waige mfano.
 
Back
Top Bottom