Wanao hack account za watu wanafanyaje?

Kuhack vitu kama whatsapp ni rahisi sana na unaweza ukawa unareply msg nakutuma msg kama wewe ndio mhusika wa hiyo account ya whatsapp ni simple sana
Kwa hiyo WhatsApp sio salama sana kuitumia
 
Reactions: ShL
Nimesikia kuwa kuna watu wanaweza ku hack acount yako na kujifanya yeye ndio wewe,kwa mwenye kujua hii inakuwaje?anaweza kutumia hadi avatar na user name?
Kaka nisahidie account yangu ya Twitter wamei hack nisahidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…