Tumenunu toyota hilux double capin maarufu kama (M4C Jeep) 10, tumeongeza sound sisitimu 4 pamoja na magari yake 2 zimeishaingia mbili next wiki zitatinga pale holili maada huko dar port tumekwepa urasimu.
Tumenunu nyumba na viwanja Dar, arusha, mwanza, shinyanga, dodoma, mbeya kwa ajili ya ujenzi wa ofisi kuu za chama katika maeneo husika pamoja na kujenga vyuo mbali mbali vitakavyotoa elimu ya uongozi uadilifu na uzalendo.
Sijui haya uliyosema zilipendwa zile yalikuwa kweli ama ulikurupuka
Zilizobaki tumenywea! unasemaja sasa??? au u natakaje????