Wananchi wanaaga mwili wa Chavez..Live.

Wananchi wanaaga mwili wa Chavez..Live.

Huyu alikuwa ni kiongozi wa kweli.

Sifahamu ni kwanini Chavez na viongozi wengine wa Amerika ya kusini wanasumbuliwa na magonjwa tena kwa kufuatana.

Kuna raisi Cristina Fernandez de Kirchner wa Argentina, raisi Dilma Rousseff wa Brazil na yule wa Paraguay bwana Fernando Lugo wote wanaumwaumwa.

RIP Hugo Chavez.
 
Huyu alikuwa ni kiongozi wa kweli.

Sifahamu ni kwanini Chavez na viongozi wengine wa Amerika ya kusini wanasumbuliwa na magonjwa tena kwa kufuatana.

Kuna raisi Cristina Fernandez de Kirchner wa Argentina, raisi Dilma Rousseff wa Brazil na yule wa Paraguay bwana Fernando Lugo wote wanaumwaumwa.

RIP Hugo Chavez.


inaonekana wanaumwa magonjwa ya CIA!
 
inaonekana wanaumwa magonjwa ya CIA!

Chavez aligunduliwa kuwa anaumwa sarakani mwezi June 2011 na baadae mwaka huo mwezi December, marehemu Chavez akipokuwa akizungumza na wanajeshi alisema, namnukuu-

"Would it be so strange that they've invented technology to spread cancer and we won't know about it for 50 years?"- mwisho wa kumnukuu.

Nafikiri alikuwa akimaanisha hivyo.
 
Kweli hawa watu wanaotaka kuiongoza dunia kweli hawawapendi wanaopingana nao. ukichunguza wote wanopingana nao wamekufa au wanaumwa saratani. Wakishinda hapo wanapandikiza mbegu ya chuki ili kuanzisha vita.

RiP Chavez
 
Back
Top Bottom