MN Productions
Member
- Aug 22, 2015
- 68
- 17
Habari zenu ndugu zangu? naombeni ushauri: Mimi nimeacha kazi baada ya kupata kazi ambayo imenigharimu muda na akiba yangu yote ya pesa ili kuipata, sio kwa kuhonga...bali kwa shughuli mbalimbali k.v. usafiri, printing, research n.k. Sasa hapa nilipo sina hela ya kuishi hadi mwisho wa mwezi mshahara utakapotoka na nina familia.
Tayari nimeshakopa kiasi kikubwa tu kwa mtu wangu wa karibu ambacho nilikitumia katika harakati za kutafuta kazi. Sasa nifanyeje? nimewaza kuhusu kumkopa bosi au mfanyakazi mwenzangu, naona nitaharibu credibility na kutengeneza maswali yasiyo ya lazima, hivyo lazima nilinde hii kazi kwa gharama hata ya kulala njaa...lakini kiuhalisia, siwezi kulala njaa hadi wiki 3 zijazo, hivyo nahitaji pesa.
Nimewaza kuhusu kuuza hii simu, napata wakatu mgumu kwasababu yenyewe ndio inanisaidia hata sasahivi kuwaambieni nyinyi ili mnipe mawazo.
Nimewaza kwamba labda mtu anawezajitolea kunikopa kwa riba flani kutokana na kiwango mshahara wangu, tukaandikishana kwa M/kiti, na mwenye nyumba wangu pamoja na familia yangu wawe mashahidi. Document nilizonazo ni k.v. mkataba wa kazi, kitambulisho, vyeti na cv yangu inayoonyesha utendaji kazi wangu mzuri na wa kuridhisha kiasi cha kuweza kuishawishi kampuni hiyo kutengeneza position ya kazi yangu maana hawakuwa nayo mwanzo...ingawa walikuwa wanahitaji huduma kama yangu.
NIFANYEJE???😥😥😥
Tayari nimeshakopa kiasi kikubwa tu kwa mtu wangu wa karibu ambacho nilikitumia katika harakati za kutafuta kazi. Sasa nifanyeje? nimewaza kuhusu kumkopa bosi au mfanyakazi mwenzangu, naona nitaharibu credibility na kutengeneza maswali yasiyo ya lazima, hivyo lazima nilinde hii kazi kwa gharama hata ya kulala njaa...lakini kiuhalisia, siwezi kulala njaa hadi wiki 3 zijazo, hivyo nahitaji pesa.
Nimewaza kuhusu kuuza hii simu, napata wakatu mgumu kwasababu yenyewe ndio inanisaidia hata sasahivi kuwaambieni nyinyi ili mnipe mawazo.
Nimewaza kwamba labda mtu anawezajitolea kunikopa kwa riba flani kutokana na kiwango mshahara wangu, tukaandikishana kwa M/kiti, na mwenye nyumba wangu pamoja na familia yangu wawe mashahidi. Document nilizonazo ni k.v. mkataba wa kazi, kitambulisho, vyeti na cv yangu inayoonyesha utendaji kazi wangu mzuri na wa kuridhisha kiasi cha kuweza kuishawishi kampuni hiyo kutengeneza position ya kazi yangu maana hawakuwa nayo mwanzo...ingawa walikuwa wanahitaji huduma kama yangu.
NIFANYEJE???😥😥😥