Ulenje
Member
- Jul 10, 2011
- 30
- 2
Gazeti moja la serikari laandika na kutoa picha kuonyesha wanajeshi wakiwa kazini lakini swari je watatosha nchi nzima mpaka KAZURAMIMBA, MWAKALELI, ILEMERA na vijiji vingine au Muhimbiri tu NA je watakuwa kazini mda wote au ni zima moto na kujipima uwezo kwamba hawajashinda na haawatafanikiwa ebu naomba tutazame kwa mapana na marefu, Serikari salama sio ile inayotengeneza hari ya kukomeshana na wananchi bali inayowasikiliza na kufanya COLLECTIVE DECISION FOR ALL