Wanajeshi 180 waliuawa na Al-Shabab

Kamanda wa Kweli

JF-Expert Member
Jul 13, 2014
1,448
845
140221121000_somalia_512x288_reuters.jpg


Rais Hassan Sheikh Mahmoud wa Somalia

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mahmoud amesema kuwa takriban wanajeshi 180 wa Kenya waliuawa katika uvamizi wa kambi yao huko El Ade na wapiganaji wa kundi la Alshabaab.

''Wanajeshi wa kigeni hufariki na hatuendi katika mazishi yao.Wakati wanajeshi 180 ama 200 wa Kenya waliotumwa nchini Somalia na sababu ya kutumwa kwao nchini humo ni kuleta udhabiti kuwaisaidia raia wa Somalia na wanauawa alfajiri moja, si swala la kawaida kwamba wageni wameuawa.

Kile kilichosalia ni kwamba jamaa zao walielezwa kwamba kulikuwa na vita na watu wao wakafariki kutokana na hilo'',rais huyo alinukuliwa akisema hivyo katika kituo kimoja cha runinga nchini Somalia.


Chanzo: BBC Swahili
 
Wanajeshi 180 wa Kenya waliuawa na al-Shabab
  • Dakika 7 zilizopita
Mshirikishe mwenzako
140221121000_somalia_512x288_reuters.jpg
Image copyrightReuters
Image captionRais Hassan Sheikh Mahmoud wa Somalia
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mahmoud amesema kuwa takriban wanajeshi 180 wa Kenya waliuawa katika uvamizi wa kambi yao huko El Ade na wapiganaji wa kundi la Alshabaab.

''Wanajeshi wa kigeni hufariki na hatuendi katika mazishi yao.Wakati wanajeshi 180 ama 200 wa Kenya waliotumwa nchini Somalia na sababu ya kutumwa kwao nchini humo ni kuleta udhabiti kuwaisaidia raia wa Somalia na wanauawa alfajiri moja ,si swala la kawaida kwamba wageni wameuawa.Kile kilichosalia ni kwamba jamaa zao walielezwa kwamba kulikuwa na vita na watu wao wakafariki kutokana na hilo'',rais huyo alinukuliwa akisema hivyo katika kituo kimoja cha runinga nchini Somalia.


Source : BBC Swahili
 
Hao (KDF)Kilicho wapeleka kenya sababu kuu 3; 1,killing innocent people 2,charcoal trade 3,and sex.....
 
Back
Top Bottom