wanajamvi nikaribisheni mgeni mwenyeji

Mar 1, 2011
20
1
Habari zenu mliomo.
Nimekua mshabiki mkubwa wa jamvi hili lakini mara zote
nikiwa mtazamaji tu na kila nilipotaka kuchangia nazuiwa
kumbe nilikua mpitaji sasa naingia rasmi nipate kuchangia
na kutoa niliyonayo.
Wanaume kwa wanawake,majukwaa yote ntajituma maana yananivutia.
Jina langu linamaanisha Kizuri Uzima (mengine majaaliwa)
Nawakilisha.
 
hhaaaaaa karibu sana nini maana ya jina lako hilo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…