Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,490
Habari zenu wana Jf kuna nafasi za kazi 3 kutoka hii campun nayo fanya kazi, nilimwomba manager nafasi hizi tuzitangazie humu jf amekubali ndomana nmekuja hapa kwenu tusaidiane kwa kidogo kinachopatikana.
Tunahitaji watu wa finance, statistics & Project planning. Bachelor degree,Uwe na GPA ya (3.5+) na uwe na research skills.
SIFA ZINGINE
Hard worker, high discipline, Time management, ability to work with a minimum supervision and able to work in any environment provided.
-Pia lazima uwe na computer skills in ms word, excel,PowerPoint na kwa wale wa statistics na project planning uwe una uwezo wa kutumia statistical Analysis packages eg SPSS, STATA, R charts etc.
-Trainings zitatolewa kwa wale watakao fanikiwa kupata chance
-Safari zipo hasa za mikoani hvyo utalazimika kwenda inapobidi
Jinsi ya ku apply tutumie cv yako pamoja na cover letter bila kusahau salary requirement yako nicksonthabit@gmail.com
Adress(optional)
Manager hiring
P.o Box 43345
Dar es salaam
Application deadline is 27/06/2019, (up to 12pm). Only shortlisted candidates will be contacted.
NB: utapewa posho ya nauli kila wiki , lunch na free airtime kila mwezi. Kama una maswali uliza nitakujibu.
Job location-Dar es Salaam
Tunahitaji watu wa finance, statistics & Project planning. Bachelor degree,Uwe na GPA ya (3.5+) na uwe na research skills.
SIFA ZINGINE
Hard worker, high discipline, Time management, ability to work with a minimum supervision and able to work in any environment provided.
-Pia lazima uwe na computer skills in ms word, excel,PowerPoint na kwa wale wa statistics na project planning uwe una uwezo wa kutumia statistical Analysis packages eg SPSS, STATA, R charts etc.
-Trainings zitatolewa kwa wale watakao fanikiwa kupata chance
-Safari zipo hasa za mikoani hvyo utalazimika kwenda inapobidi
Jinsi ya ku apply tutumie cv yako pamoja na cover letter bila kusahau salary requirement yako nicksonthabit@gmail.com
Adress(optional)
Manager hiring
P.o Box 43345
Dar es salaam
Application deadline is 27/06/2019, (up to 12pm). Only shortlisted candidates will be contacted.
NB: utapewa posho ya nauli kila wiki , lunch na free airtime kila mwezi. Kama una maswali uliza nitakujibu.
Job location-Dar es Salaam