Habari!
Wanahitajika wataalamu wa Massage ambao wana ufahamu wa massage na wanaweza kutoa huduma hiyo kwa watu kwa ajili ya kuboresha afya zao.
Sifa za Wataalamu wa Massage wanaohitajika
- Awe amesomea Massage (Certificate au Diploma)
- Awe na uzoefu wa kutoa huduma za Massage
- Awe ni mwanamke
- Awe mwenye umri wa miaka 18 au zaidi
- Awe ni mkazi wa Dar es Salaam au kama yupo nje ya Dar es Salaam awe tayari kuishi Dar es Salaam.
- Mshahara utatolewa kwa wataalamu watakaokubaliwa
ONYO: Hatuhitaji wafanya massage za kihuni za mitaani, Tunahitaji Mfanya massage kwa lengo la kuboresha afya za watu. Ikibainika kuwa wewe ni mfanya massage za kihuni (zisizozingatia maadili) basi utalipa gharama zote ambazo ofisi itatumia kwa ajili yako na utalipa faini kwa kuishushia hadhi Ofisi.
KWA ALIYE TAYARI APIGE SIMU: 0715343161
Pia, Kwa wanaohitaji kujifunza Massage, Nafasi zipo wazi Karibuni Sana.
Imetolewa Tarehe 27/08/2019,