Wanahitajika sales person

Duh kweli tangazo,mbona halijakamailika unaogopa kiitu gani kuweka tangazo likafahamika?
 
Sasa mkuu mbona kama hata wewe hujaweza shawishi watu vile inavopaswa? Majibu makali na makavu sana. Anyway kila la kheri
 
Kumbe untafuta mke? Me nkajua unatafuta mfanyakazi kumbe mke? Basi kamuoe mamako

Akili yako ni ndogo ya kuvukia barabara. Tofautisha me na mke . ndio maana kiongoz wenu wa ufipa aliwaambia muende shule
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…