Habari
Kwa kweli nmejaribu kuipitia hii Rasimu ya bunge la Sitta, sio siri kwa sasa sijielewi maana tumbo la uchungu kutoka moyon linaniuma sana, Wakat mwingine koo linapata hasira nabaki nikitweta mithili ya mtu alietoka kufanya mazoezi na pumzi imemkata.
Watanzania hii si sawa eti kisa umeshika mpini bac ndo uwaonee wanyonge tena wapigakura.
Jamani ujue naumia kwa sababu ya Rasimu ya BMK, Sitta kwa nn unatufanyia hivi?
Hivi kwa nini mnataka mjitengenezee mazingira ya kututawala milele wakat hamna nia ya kutusaidia bali kujisaidia wenyewe?
Tumbo langu jamani, Koo langu jamani?
Hii ni kupeana tu vidonda vya tumbo
Kwa kweli nmejaribu kuipitia hii Rasimu ya bunge la Sitta, sio siri kwa sasa sijielewi maana tumbo la uchungu kutoka moyon linaniuma sana, Wakat mwingine koo linapata hasira nabaki nikitweta mithili ya mtu alietoka kufanya mazoezi na pumzi imemkata.
Watanzania hii si sawa eti kisa umeshika mpini bac ndo uwaonee wanyonge tena wapigakura.
Jamani ujue naumia kwa sababu ya Rasimu ya BMK, Sitta kwa nn unatufanyia hivi?
Hivi kwa nini mnataka mjitengenezee mazingira ya kututawala milele wakat hamna nia ya kutusaidia bali kujisaidia wenyewe?
Tumbo langu jamani, Koo langu jamani?
Hii ni kupeana tu vidonda vya tumbo