johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Kwanza kabisa nawatakia wana Jf wote maandalizi mema ya Christmas.
Sisi makamanda tunaokwenda Moshi tuwe makini tusiwapelekee wazee wetu toleo jipya la covid 19.
Mwisho, Hongereni the so called Sukuma gang kwa namna mnavyomuenzi shujaa wenu hata sasa, nawafananisha na wale akina mama waliotembea na Yesu njia yote ya msalaba hata mauti na ndio wakawa mashahidi wa kwanza juu ya ufufuko wake.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Sisi makamanda tunaokwenda Moshi tuwe makini tusiwapelekee wazee wetu toleo jipya la covid 19.
Mwisho, Hongereni the so called Sukuma gang kwa namna mnavyomuenzi shujaa wenu hata sasa, nawafananisha na wale akina mama waliotembea na Yesu njia yote ya msalaba hata mauti na ndio wakawa mashahidi wa kwanza juu ya ufufuko wake.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!