bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Yes, ukistaajabu ya Okwa utayaona ya Sawadogo, hakika mashabiki wa Simba ipo shida kichwani kwa oblangata. Hizi kelele wanazopiga, hizi furaha walizo nazo sijui wanazitoa wapi!
Nimejiuliza maswali lukuki sana, sema hiki kizazi sio cha kuhoji bali ni kizazi cha uchawa, kujipendekeza sana mbaya zaidi finafanywa na vijana wenye nguvu zao.
Leo nlitegemea mashabiki wa Simba wawe na mijadala mizito sana juu ya timu hayo ila walaa ndio hao wananenepa kwa Nabii kuondoka Yanga, hakika viongozi wao wanafurahia sana kuongoza hawa watu ndio maana wanafanya watakalo.
Tumeshuhudia sajili nyingi sana za kisanaa kutoka Simba hebu leo niambie, Dejan yupo wapi, striker tulioambiwa anafunga huku kafunga macho, kiko wapi?
Mashabiki wa Simba wanaacha kuhoji kwanini Okwa au Sawadogo wachezaji wa kimataifa waliopanda ndege karibia tatu mpaka kufika Tz ila wameishia kucheza mechi 2 kama sio 4 bora Sawadogo kaja dirisha dogo ila Okwa sasa.
Waulize mashabiki wamechukua hatua gani kuzuia haya yasiyokee tena Jibu lao tunafuraha Mayele anaenda Kaizer Chiefs so hakutokua na mtetemo tena.
Hakika hawa jamaa hawapo serious kabisa wamebaki na propaganda tu.
Nimejiuliza maswali lukuki sana, sema hiki kizazi sio cha kuhoji bali ni kizazi cha uchawa, kujipendekeza sana mbaya zaidi finafanywa na vijana wenye nguvu zao.
Leo nlitegemea mashabiki wa Simba wawe na mijadala mizito sana juu ya timu hayo ila walaa ndio hao wananenepa kwa Nabii kuondoka Yanga, hakika viongozi wao wanafurahia sana kuongoza hawa watu ndio maana wanafanya watakalo.
Tumeshuhudia sajili nyingi sana za kisanaa kutoka Simba hebu leo niambie, Dejan yupo wapi, striker tulioambiwa anafunga huku kafunga macho, kiko wapi?
Mashabiki wa Simba wanaacha kuhoji kwanini Okwa au Sawadogo wachezaji wa kimataifa waliopanda ndege karibia tatu mpaka kufika Tz ila wameishia kucheza mechi 2 kama sio 4 bora Sawadogo kaja dirisha dogo ila Okwa sasa.
Waulize mashabiki wamechukua hatua gani kuzuia haya yasiyokee tena Jibu lao tunafuraha Mayele anaenda Kaizer Chiefs so hakutokua na mtetemo tena.
Hakika hawa jamaa hawapo serious kabisa wamebaki na propaganda tu.