Wana (Zuchu) Vs Dodo (Ali Kiba)

Hizi nyimbo zote ni mpya, na zina mahadhi yanayofanana...

Dodo iliachiwa jana chini ya Kings music na Wana imeachiwa leo chini ya Wasafi label

Kwa mtazamo wako upi wimbo ni mkali kuliko mwingine bila ya kujali jina wala label aliyopo msanii husika
Futa huu upuuzi kaka...huwezi fananisha dodo na huo wimbo wa huyo dogo na yeye mwenyewe humohumo namaanisha dodo ni kubwa kuliko HUYO MSANII+WIMBO WAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashoga kuisha nchini ni ndoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…