Wana jf msaidieni huyu mama.

Jul 13, 2011
64
8
Mimi ninalafiki yangu ambae nijilani yangu, kama nyumba ya 5 kutoka kwetu ktk maongezi alinieleza matatizo yake. Ni mmama mwenye watoto wawili(26) anatatizo lakutoka damu wakati wa kujamiiana na huacha kutoka iwapo ataachakujamiana. Na hili tatizo lilimuanza 2! Baada mwaka 1 kabla hajajifungua mwanae wakwanza,naalimueleza mumewa akamwambia yawezekana mizim ya kwao imemkataa!.naalivyo enda hospital akaambiwa asijamiane ndan ya miezi 6 lakin bado hali inaendelea. Je tatizo linaweza kuwa ninini?..
 
akaonane na doctor specialist wa wanawake huko atapata msaada zaidi.
 
Yuko wapi dsm? kama dsm aende muhimbili first truck aombe appointment ya specialist yoyote wa akina mama mfano Dr kamugisha etc
 
Mimi ninalafiki yangu ambae nijilani yangu, kama nyumba ya 5 kutoka kwetu ktk maongezi alinieleza matatizo yake. Ni mmama mwenye watoto wawili(26) anatatizo lakutoka damu wakati wa kujamiiana na huacha kutoka iwapo ataachakujamiana. Na hili tatizo lilimuanza 2! Baada mwaka 1 kabla hajajifungua mwanae wakwanza,naalimueleza mumewa akamwambia yawezekana mizim ya kwao imemkataa!.naalivyo enda hospital akaambiwa asijamiane ndan ya miezi 6 lakin bado hali inaendelea. Je tatizo linaweza kuwa ninini?..

imani zingine bana......hivi hayo mambo hapo nilipobold bado huwa yanaexist?.......
 
Back
Top Bottom