nasri athumani
Member
- Jul 13, 2011
- 64
- 8
Mimi ninalafiki yangu ambae nijilani yangu, kama nyumba ya 5 kutoka kwetu ktk maongezi alinieleza matatizo yake. Ni mmama mwenye watoto wawili(26) anatatizo lakutoka damu wakati wa kujamiiana na huacha kutoka iwapo ataachakujamiana. Na hili tatizo lilimuanza 2! Baada mwaka 1 kabla hajajifungua mwanae wakwanza,naalimueleza mumewa akamwambia yawezekana mizim ya kwao imemkataa!.naalivyo enda hospital akaambiwa asijamiane ndan ya miezi 6 lakin bado hali inaendelea. Je tatizo linaweza kuwa ninini?..