Changamoto zipo kila mahali. Hata walioko Korea Kusini wanatamani kurudi Tanzania.Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu
Tafsiri yako ya mafanikio ni ipi ?Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu
Hakikisha kwanza unaweza kuishi bila dini wala imani yoyote maana huko hayo mavitu yamepigwa marufuku na uwe teyari kunyongwa ukishindwa kulipa kodiKama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu
Hivi unapotaka kuzamia nchi fulani kuna process inafuatwa kutoka kwenye nchi unayotoka?Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu wakuu wa process za kuvuka ng'ambo ugumu na njia zake ni zipi. PM iko wazi kwa ushauri wakuu
Fursa zinaanzia kwenye akili yako. Huko kwingine unajazia tuNi kua na fursa zinazokuzungua kiasi kwamba unaamua ufanye ipi