Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Imekuwa ni tabia ya CCM-CUF-Na Wengine huku Zitto akiwa na mitandao inayotafuta umaarufu katika hayo mambo 3.Kama wameamua wekeza katika haya mambo basi wajiandae kutupa majibu katika majukwaa mbali mbali nchini,bila jazba.Wala wasishangae hilo.
Tumechoka hii mizaha kwa watu kama Mukama,Wassira,JK mwenyewe,UV-CCM pwani,CUF kauli zao na Zitto na watu wake.Sasa muda unakuja inabidi mjikaze kiume kumeza huo uozeo tutakapopata majibu.Mlipofikia ni mbalia sana na dozi ya huo uchafu ni kubwa sana
Mod tunaomba msifute hii thread.Kwani hali halisi ipo wazi sana.Na wahusika wajue wameshavuka mipaka.
Tumechoka hii mizaha kwa watu kama Mukama,Wassira,JK mwenyewe,UV-CCM pwani,CUF kauli zao na Zitto na watu wake.Sasa muda unakuja inabidi mjikaze kiume kumeza huo uozeo tutakapopata majibu.Mlipofikia ni mbalia sana na dozi ya huo uchafu ni kubwa sana
Mod tunaomba msifute hii thread.Kwani hali halisi ipo wazi sana.Na wahusika wajue wameshavuka mipaka.