TwendeSasa
Senior Member
- May 24, 2008
- 128
- 116
kumetokea ajal hapa daraja la wami watu watatu wamekufa papo hapo ajali imehusisha gar aina ya fuso..kilichowakumba abiri wanaenda arusha na wanaoenda dar ni folen yan hakupitk kabisa.. Tanzania hakuna emergence responce kabisa yan watu ni weng kwelikwel na magar ni mengi sana.naona wanajesh wameamua wasimamie