Mbeky
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 672
- 516
Wamasai ni kundi la watanzania wachache waliofanikiwa kutunza mila zao kwa kipindi kirefu sasa ingawa naona speed ya utandawazi inaelekea kufunika.
back to the topic, hapo miaka ya tisini kuja mpaka elfu mbili mwanzoni liliibuka kundi la wamasai kibao wakija mijini kutafuta kazi za ulinzi almarufu watchmen, kwa kweli waliaminika nakupewa kulinda nyumba nyingi tu sababu kubwa ikiwa eti hawa jamaa ni wakali na wanaweza kutoa kichapo vizuri.
Miaka ya hivi karibuni yameibuka makupuni mengi ya ulinzi binafsi almarufu security guard nakumaliza kabisa ka sio kutupia mbali ajira za wamasai.
Sasa ndugu zetu hawa wamegoma kurudi makwao kuchunga ng'ombe elimu ya form 4 yakuwawezesha kuajiriwa na haya makampuni ya ulizi hawana matokeo yake wamekua wakishinda kwenye mabar wakicheza kamali kwenye mchezo wa pool table wengine wanazunguka na vimijiti wakidai vinaongeza nguvu Mwenge stand wameamua kushindana na dada zetu kusuka yahani wemekua wajanja wajanja tu hawaeleweki.
ushauli wangu ndugu zangu wamasai rudi darasani mkasome
back to the topic, hapo miaka ya tisini kuja mpaka elfu mbili mwanzoni liliibuka kundi la wamasai kibao wakija mijini kutafuta kazi za ulinzi almarufu watchmen, kwa kweli waliaminika nakupewa kulinda nyumba nyingi tu sababu kubwa ikiwa eti hawa jamaa ni wakali na wanaweza kutoa kichapo vizuri.
Miaka ya hivi karibuni yameibuka makupuni mengi ya ulinzi binafsi almarufu security guard nakumaliza kabisa ka sio kutupia mbali ajira za wamasai.
Sasa ndugu zetu hawa wamegoma kurudi makwao kuchunga ng'ombe elimu ya form 4 yakuwawezesha kuajiriwa na haya makampuni ya ulizi hawana matokeo yake wamekua wakishinda kwenye mabar wakicheza kamali kwenye mchezo wa pool table wengine wanazunguka na vimijiti wakidai vinaongeza nguvu Mwenge stand wameamua kushindana na dada zetu kusuka yahani wemekua wajanja wajanja tu hawaeleweki.
ushauli wangu ndugu zangu wamasai rudi darasani mkasome