jozee jose
Senior Member
- Sep 22, 2022
- 147
- 359
Nimezunguka baadhi ya mikoa Tanzania kama vile Dar, Iringa, Mbeya, Morogoro, Lindi ,Kilimanjaro na Pwani lakini kuna Nkoa unaitwa Ntwara daaaaa😃😃
Watu wa mkoa wa Ntwara ni wazuri sana mdomoni yaani kitaalamu (win-win agreement) hasa unapopanga naye jambo la tija au ustawi wenu...
😁😁 Sasa jichanganye matokeo yatakuwa hivi( lose-win agreement) yaani wanasahau makubaliano kabisaaaaaaaaaaaa tena hadi ana apa na kiapo cha dini yaani yeye anabaki kuwa mshindi wewe umepoteza..
Jambo jingine ni kwamba They never keep promise ( uwezo wa kutunza ahadi ni hafifu sana) yaani anaweza kukuambia nimepanda boda nafika dk 5 lakini atafika baada ya masaa 2 na ukimuuliza vipi ilikuwaje?
Atakujibu tu nilikuwa nakula 😇😇
Watu wa mkoa wa Ntwara ni wazuri sana mdomoni yaani kitaalamu (win-win agreement) hasa unapopanga naye jambo la tija au ustawi wenu...
😁😁 Sasa jichanganye matokeo yatakuwa hivi( lose-win agreement) yaani wanasahau makubaliano kabisaaaaaaaaaaaa tena hadi ana apa na kiapo cha dini yaani yeye anabaki kuwa mshindi wewe umepoteza..
Jambo jingine ni kwamba They never keep promise ( uwezo wa kutunza ahadi ni hafifu sana) yaani anaweza kukuambia nimepanda boda nafika dk 5 lakini atafika baada ya masaa 2 na ukimuuliza vipi ilikuwaje?
Atakujibu tu nilikuwa nakula 😇😇