Walokole sijui mnakwama wapi?

Bwii89

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
1,001
Reaction score
1,025
Nimekua ktk mahusiano kadhaa na mabinti wakilokole,tulipokua tunaanzana walinilazimisha kuokoka,nlifanya ivo ili kuongeza maombi,tatizo linakuja pale unapobaini mwenzi wako n mwongo na mnafiki.Hawa watu cjui ulokole wao uko wapi..mana visa nlofanyiwa cwez eleza hapa..majemedar wenzangu mnatumia mbinu zipi kushinda vita? Naruhusu mapofuu ya omo pia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuokoka hakumaanishi kuwa tabia chafu zinaondoka. Unless mtu mwenyewe aamue kuacha kabisa.
Wengi wa hivyo wanaokoka ili kuficha dhambi zao...
Wako wanakwaya kabisan lakin ni malaya experienced kabisa.
So kuokoka hakumfanyi mtu kuwa na tabia njema
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hawana uokovu wa kweli wanaenda kwny makanisa kwa shida zao binafsi
 
Nisamehe bure! Ila wote 5 nlodate nao ni wanafiki wakutupwa! Cjui ww!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmoja alikua mwanakwaya!mwengine alikua kiongoz,cjui kacheo gn tuseme wote wa mdomoni tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ungeelezea ivo visa tungejua nini asa ulichofanyiwa,
otherwise usihukumu watu woye kwa kosa ulilotendewa na mtu mmoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu walokole wengi wamechanganikiwa, ukimtongoza tuu kitu chakwanza anataka uende kanisani kwao, ukishaenda kanisani kwao jiandae kwa mapicha picha, kuna moja nilimtongoza akaniambia niende kanisani kwao mzee mzima nikajitosa, he baadae akaniambia niakawaone wazee wakanisa niwaeleze kuwa nampenda yeye, ha! Nilimtukana matusi ya nguoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulipaswa kujua maana ya wokovu ndio ungeleta uzi humu,inavyoonyesha hao hawakuwa walokole bali wamejificha kwenye ulokole kwa sababu wanazozijua wenyewe NA hata wewe mwenyewe ulivyoshawishiwa kuokoka uliokoka kwa sababu zako binafsi ndio maana hizo vita ulizokumbana nazo zikakushinda...
 
Nisamehe bure! Ila wote 5 nlodate nao ni wanafiki wakutupwa! Cjui ww!

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh unasema na wewe uliokoka...uka-date na walokole watano!!!!

Si ajabu tatizo liko kwako kwa kudhani walokole Ni malaika na ukashindwa kusimama kwenye zamu yako. Unaona mapungufu ya hao wa5 halafu wewe upo perfect!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…