Habari zenu wadau,
Hii ni kwa wazoefu kwenye maswala ya ujenzi na mafundi wa kupaka nyumba rangi. Naombeni mnijuze hii wall master ni kitu gani na ina umuhimu gani? Manake nna quotation hapa ya vifaa vya rangi bei zake zimerange laki tatu mpaka laki sita. Bt hii wallmaster peke yake cost yake imekwenda mpaka milioni moja na nusu, kwa mahesabu ya 150,000@ kwa ndoo moja.
Karibuni kwa mawazo/ ushauri.
Natanguliza shukrani.