Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Mashindano ya kombe la dunia yaliyoandaliwa kwa pamoja kati ya Japan na Korea kusini yalikuwa ni mashindano yenye msisimko mkubwa sana,Senegal walitupa matumaini makubwa sana waafrika lakini Wasweeden wakatutoa.
Katika mashindano hayo ambayo mwisho wa siku Brasil waliibuka washindi kulikuwa na baadhi ya wachezaji waliong'ara kwelikweli.Baadhi ya hao wachezaji ni kama ifuatavyo:-
1.Ronaldo De Lima
2.Fadiga
3.Klose
4.Rustu
5.Ronaldinho
6.Rivaldo
7.Diouf
8.Lucio
9.Larson
hao ni baadhi ya wachezaji walionivutia katika mashindano yale,waweza ongeza wale waliokuvutia wewe.karibuni
Katika mashindano hayo ambayo mwisho wa siku Brasil waliibuka washindi kulikuwa na baadhi ya wachezaji waliong'ara kwelikweli.Baadhi ya hao wachezaji ni kama ifuatavyo:-
1.Ronaldo De Lima
2.Fadiga
3.Klose
4.Rustu
5.Ronaldinho
6.Rivaldo
7.Diouf
8.Lucio
9.Larson
hao ni baadhi ya wachezaji walionivutia katika mashindano yale,waweza ongeza wale waliokuvutia wewe.karibuni