SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
Habari zenu wadau. Napenda tu tufahamiane japo kwa ID zetu hizo na kukumbushana ya nyuma kwakuwa ndio sisi tuliobaki na hakuna tena kizazi cha sasa cha Mazengo kwakua ni St. John University.
Binafsi nilimaliza miaka ya 2000 kipindi hicho head master Msasa baadae akahama akaenda Nsumba na nafasi yake ikachukuliwa na Mgohamwende.
Nakumbuka zile vujo ambazo zilitikisa Dodoma wakati wa Mashindano ya UMISETA Jamhuri Stadium,
Je unawakumbuka walimu hawa,.
Mshumbuzi, Kameme, Shabani, Mama Mwenda, Chakoo (RIP), Kabota, KIFUTU (aka), Katunzi (RIP), Ishengoma aka Askofu, Mama Kasira, Mama Ndeitabura, Chawala, Milali, Muta, Lwamo, Malima (wote wawili), Mwamunyi, Tete, Mwamfupe aka Unyamaunyama, Tembo, Sichone (RIP), Tandika, KIPATICLE (aka), Mshani, Elia aka TRIANGLE
Ongeza wengine ambao sijawataja na matendo yao ambayo hutayasahau.
Je Mazengo imekufanya ujivunie kusoma pale?
Binafsi nilimaliza miaka ya 2000 kipindi hicho head master Msasa baadae akahama akaenda Nsumba na nafasi yake ikachukuliwa na Mgohamwende.
Nakumbuka zile vujo ambazo zilitikisa Dodoma wakati wa Mashindano ya UMISETA Jamhuri Stadium,
Je unawakumbuka walimu hawa,.
Mshumbuzi, Kameme, Shabani, Mama Mwenda, Chakoo (RIP), Kabota, KIFUTU (aka), Katunzi (RIP), Ishengoma aka Askofu, Mama Kasira, Mama Ndeitabura, Chawala, Milali, Muta, Lwamo, Malima (wote wawili), Mwamunyi, Tete, Mwamfupe aka Unyamaunyama, Tembo, Sichone (RIP), Tandika, KIPATICLE (aka), Mshani, Elia aka TRIANGLE
Ongeza wengine ambao sijawataja na matendo yao ambayo hutayasahau.
Je Mazengo imekufanya ujivunie kusoma pale?