Waliosema TBCCM hawakukosea.

Leo ndo unajua kaka
 
TV ya Taifa kufanya Kazi kwa serikali ilioko madarakani.subili siku ishinde hicho chama chako utafurahia utakuwa ikitangaza mambo ya chama chako hicho.kama utakuwepo hai najuwa utakuwa unafurahia sana.ila kwa sasa hesabu maumivi mkuu
 
Ni kinyaa kitupu... Nimetukana hapa...

Yani Mbowe kapewa sekunde 20..

CCM 10 minutes..

Ngoja kwanza.
mm nataman kutofqtilia habari za siasa kbs ila nashindwa!mm nna hasira na haya yenye mijiguo ya kijan balaa!mbupppu zao zenye mifungus!@mxiew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…